Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Aisee.Kwa wale wenye mifugo au wenye kufuga mbwa au paka majumbani tazameni watapoanza kubadilisha tabia ghafla, mjuwe kuna hatari wana i sense.
Mwenyeezi Mungu aliwajaalia wanyama wote sensors za early warning kwa mabadiliko ya hali ya hewa na tabia nchi isiyo ya kawaida.
Ni mm ngapi za mvua? Au ulikuwa unaangalia kwa macho tuu?Moja kwa moja,
Katika kipindi cha miaka 7 Dar sijawahi kushuhudia mvua kama iliyopiga siku mbili hizi haswa ya leo ndio bab kubwa sehemu nyingi maji yamejaa sana.
Tukirudi nyuma wakati tahadhari zinatolewa na TMA wabongo wengi mitandaoni na mitaani walikuwa wanabeza sana na wengine kuleta dhihaka, sasa kwa hali inayondelea bado wale waliokuwa wanabeza na kudharau wanashikilia misimamo yao?
View attachment 2801355
View attachment 2801356
View attachment 2801357
Wabongo tupende kuamini vya kwetu..
#UziTayari
Kwa hiyo Kanda ya Ziwa kuna mvua za El Nino toka Oktoba?Maeneo ya Kanda ya Ziwa na kaskazini zilianza mapema kidogo.
Muda ni kwa sababu upepo unaoleta mawingu ya mvua unaweza kubadili speed na uelekeo. Mabadiliko ya temperature na humidity, n.k.
Na ndiyo maana wanaita utabiri (forecast).
Ukielewa maana ya utabiri utajua inaweza usiwe 100%.
"A seven-day forecast can accurately predict the weather about 80 percent of the time and a five-day forecast can accurately predict the weather approximately 90 percent of the time. However, a 10-day—or longer—forecast is only right about half the time."
Sintasahau mvua za El nino 1997 na 1998Mkuu unaijua Elnino?
Au umesimuliwa kuhusu Elnino?
Nina ijua na nimeishuhudia hii sio ila hii ni mvua Nyingi za msimu kama walivyosema TMA
Mkuu ile Elnino ilikuwa hatari nashangaa mtu akilinganisha hizi mvua vuli na Elinino ila simlaumu pengine umri wake Sio mkubwa kuyajua haya yoteSintasahau mvua za El nino 1997 na 1998
Kila nikienda Manyara National Park na kuona ile miti iliyong'olewa na mvua basi naikumbuka