jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Wwe nenda kwa point usizunguke sana!!Ok kamanda, naomba nijulishe basi maana ya neno morther ili twende sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wwe nenda kwa point usizunguke sana!!Ok kamanda, naomba nijulishe basi maana ya neno morther ili twende sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh[emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefika home tisa na Nusu usiku.
Tupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi hapo ufipa mmeamkaje!?[emoji1787]
🙊🙊🙊 😂
😂😂😂 Zimefika. 🙏🙏🙏😂😂😂😂Akili zako unazijua mwenyewe wewe. Wasalimie wacheza wa hiyo timu yako UTOPOLO FC AKA Makandambili ya jangwani 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Zimefika. 🙏🙏🙏
Hahahahaaa!! Lol.Msimbazi tunapokea maombi ya wanachama wapya, ukijisikia kuyachoka makandambili ya jangwani basi usisite kutuma maombi yako 😜😜😜
I love you dawn n duskVipi hapo ufipa mmeamkaje!?[emoji1787]
Maana siasa zenu ni fuata upepo
Nakupenda sanaTupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usitusemee
Ufipa wamekupa sh ngapi Leo tugawane[emoji2960]
Umejiandaaje kuikabili October 28?
Mapenz yetu na Oktoba 28 vinahusiana nini ?Umejiandaaje kuikabili October 28?
Kwahiyo umerudi Mikono mitupu?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahahaha.
Ukizimia kwa presha unadhani nitakuwa na hali gani?
Kwani bavicha huwa hawawapi hela huko?