Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Airport ni mfano tu, ungeliacha kituo cha mafuta,stand ya bodaboda.Mkuu wazo lako zuri. Lakini msururu ule wa magari wote tungepata wazo hilo Airport pasingetosha
Kwamba...ila mdogo wangu wewe una marafiki wa ajabu sio siriUkizimia kwa presha unadhani nitakuwa na hali gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba...ila mdogo wangu wewe una marafiki wa ajabu sio siri
Huwajui?[emoji23]
Mbona mnaitana majina yale?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siwezi kuwa na rafiki Kama huyo..naye anajua kabisa
Haya majina tangu Jana amenipachikaMbona mnaitana majina yale?
Hii inasuluhisho flani kwenye mada mezani?Inafahamika kwa miaka hii tuliyonayo graphics design na video editing ndio future yenyewe. Hili video yako iwe nzuri ni vyema ukaifanyia editing nzuri. Hivyo tuko hapa na timu nzima kuhakikisha hilo linafanikiwa.
Kwanini kwa sababu zaidi ya asilimia 90 ya mitandao yote kwa Sasa wanatumia video kwenye platform zao. Iwe YouTube, Instagram, TikTok, Facebook, Twitter e.t.c mbali na hivyo unaweza kujiajiri kwa kuanzisha video editing company.
Hivyo ili uweze kuwa na platform kubwa itakulazimu uwe na skills tajwa hapo juu. Graphics design au Video editing ili marketability yako iwe vizuri.
Sasa kwa kuliona hilo tukaamua tuwatafute vijana wenzangu walio tayari kujifunza graphics design na video editing niwajengee uwezo wa kuwafundisha hizi skills for almost free. Ndio bure! sababu najua Hali ya kiuchumi kwa Sasa sio nzuri kwetu vijana ila Kama atakuwepo mtu akaguzwa kutoa chochote Kama shukrani. Tutaapreciate pia.
Sasa Basi Kuna mengi zaidi ya kushare na kudiscuss ikiwemo module na modes of learning. Link hii hapa group letu la telegram ujifunze zaidi. Editing Masterclass.
Karibuni! I
Linaitwa "Only Cutie Ladies' Confessionary Christ Church" chini ya Mtume Chige!!Wapi kwa Bulldozer Mwamposa au?
Ulikua unakaa uswazi.Jamani nimekuchukia DSM..tangu niondoke 2016.. sitaki hata kurudi
Haya majina tangu Jana amenipachika
Sielewi Hata Lengo lake ni nini
Kwani wanao kaa uswazi wanahama Dar ..niliamua TU kuondoka nlikua naishi Kijitinyama Shule pale.Ulikua unakaa uswazi.
Nihame Dar niende wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Linaitwa "Only Cutie Ladies' Confessionary Christ Church" chini ya Mtume Chige!!
Tena ujumbe huu aupate na Saint Anne aje kuungama kanisani kwangu kwanini anataka mahari wakati yeye sio kigori ili hali biblia inahamasisha mahari kwa vigori! Huyu anatakiwa aje kuungama ikiwa anaviziwa viziwa ni kapepo kapenda pesa!
Kuna kitu anakitafutaAnakutaka
Hivi hakuna mgombea wa chama kingine ngazi ya Ubunge jimbo la Kawe? Naona kuna picha nyingine ya mwana mama jina silikumbuki, hivyo siongelei Mdee pekee hapa.Unategemea kwa ishu ya mafuriko kama huko boko mdee itamsaidia?
Nikitazama anga naona kunaweza kuwa na part 2.Wadasalaam mtuupdate na Leo maana Jana watabiri wamesema ile mvua ya juzi itakuwa ni kamvua robo yake itakayonyesha leo.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kuna bonge la wingu mda huu nipo mitaa na Mbezi BeachWadasalaam mtuupdate na Leo maana Jana watabiri wamesema ile mvua ya juzi itakuwa ni kamvua robo yake itakayonyesha leo.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Akikujibu hapo kwenye RED naomba uni-tag tafadhali!!Kwani wanao kaa uswazi wanahama Dar ..niliamua TU kuondoka nlikua naishi Kijitinyama Shule pale.
Sikukorofishi wala nini... nataka nikufanyie maombi tu St Anne ili hatimae nikujaze upako![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1st born naona unanikorofisha eeeh!?!?.