Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Khaaa yaan we na hili neno[emoji849][emoji849][emoji849]

' Gridlock this

' Gridlock that

[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Na wwe itabidi nikupige Gridlock moja ya nguvu alafu nikuvute tena Dar![emoji3][emoji2957][emoji2]
 
Na by the way,

Ukishaona mtu anakuja kwenye uzi kama huu ambapo watu wanajadili mafuriko na adha za usafiri jijini Dar, yeye anaanza kukuambia eti hata Joberg, sijui London nako hua kuna mafuriko, so what? Kwahiyo kama huko kuna mafuriko maanake sisi hatuwezi ku improve huku kwetu? Kwahiyo watu waliofika majumbani saa 10 alfajiri wasilalamike kisa Joberg nako kuliwahi kutokea mafuriko? Ndio maana nasema kutembea nchi mbalimbali na kujidai kwamba una exposure hakumuondolei mtu kale ka ushamba ka asili ambako alitoka nako kijijini na lazima kataonekana tu hawezi kukaficha!
Wwe unajadili au unailalamikia Serekali tu Kama vile ndiyo inamiliki Mvua!?
 
Basiyaya ni jipu. Napajua vizuri sana, naishukuru mvua kuna jamaa alitaka niuzia kiwanja kipindi fulani, sio kipindi cha mvua ila wiki iliyofuata ghafla Mungu akashusha bonge la mvua ya ghafla! Nikamwambia jamaa naenda cheki kiwanja, Nikaenda, nikakuta nyumba ziko baharini yani mabati ndio yanaonekana. Nikamshukuru Mungu na kuwaonea huruma wakazi wa maeneo hayo kisha nikasepa! Jamaa Hajanitafuta tena..
Kuanzia gingo la mboto hadi chanika na majohe yote hiyo usijiroge kununua kiwanja kipindi cha kiangazi.
 
Kuanzia gingo la mboto hadi chanika na majohe yote hiyo usijiroge kununua kiwanja kipindi cha kiangazi
Dar yote ni Kama Mwili wa Binaadamu! Asimia kubwa ni eneo la Maji!!
 
Kama vile Paris
FB_IMG_1602667704718.jpg
FB_IMG_1602667609414.jpg
FB_IMG_1602667543455.jpg
FB_IMG_1602667501631.jpg
FB_IMG_1602666875589.jpg
 
Back
Top Bottom