jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Mgeni wa Gari hawezi kukubali kulipia gari yake ilale mbali na yeye,atakoma nayo hadi alfajiri!!Pole sana mkuu lakini siku nyingine unatakiwa kujiongeza sio kukomaa na Gari. Ungeamua kwenda hapo airport ukapaki na kuondoka na boda kwenda home. Leo ungeenda asubuhi kuchukua gari. Ungelipishwa shs 2000 kwa saa. Ambayo si kubwa ukilinganisha na adha iliyopita barabarani.