Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Mkuu wazo lako zuri. Lakini msururu ule wa magari wote tungepata wazo hilo Airport pasingetosha
Airport ni mfano tu, ungeliacha kituo cha mafuta,stand ya bodaboda.
 
Hii inasuluhisho flani kwenye mada mezani?
 
Wapi kwa Bulldozer Mwamposa au?
Linaitwa "Only Cutie Ladies' Confessionary Christ Church" chini ya Mtume Chige!!

Tena ujumbe huu aupate na Saint Anne aje kuungama kanisani kwangu kwanini anataka mahari wakati yeye sio kigori ili hali biblia inahamasisha mahari kwa vigori! Huyu anatakiwa aje kuungama ikiwa anaviziwa viziwa ni kapepo kapenda pesa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1st born naona unanikorofisha eeeh!?!?.
 
Unategemea kwa ishu ya mafuriko kama huko boko mdee itamsaidia?
Hivi hakuna mgombea wa chama kingine ngazi ya Ubunge jimbo la Kawe? Naona kuna picha nyingine ya mwana mama jina silikumbuki, hivyo siongelei Mdee pekee hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…