Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Kwamba wako juu ya paa sasa hivi??..Hamjui tu wa bondeni tunavyolaani......!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wako juu ya paa sasa hivi??..Hamjui tu wa bondeni tunavyolaani......!
Tunaomba isifikie hukoKwamba wako juu ya paa sasa hivi??..
mimi watoto walikuwa wanalia tu,wanakunywa maji nikitoka nao nje wananyamaza.Inyeshe tu
Si kwa joto lile[emoji26]
Jana usiku nimekunywa ndoo nzima ya maji kwa lisaa tu
Bado hajafyatuka mkuu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Litapunguza vumbi, hivi wana dar mnasherekea kuona mvua kupunguza vumbi, hivi hakuna zao la kibiashara mnaloweza kupanda [emoji1787][emoji1787], nyie vijana wa dar mnaombea mvua inyeshe ili vumbi lipotee,kwa vijana ni ngumu kujikwamua kiuchumi kwa hali hiiMvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane...Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.
Pole sana mkuu!Afadhali joto lipungue
Jana nimezimia kwenye mwendokasi
Dar watu wana mbwembwe..utafikiri makoti yalikuwa standbyHamjaanza kuvaa Majacket mazito[emoji2]?
Tupo kwenye serekali ambayo inajinadi kutatua changamoto za wananchi kuliko serekali zote zilizopita halafu unasema kuwa Dar maji ni changamoto sugu?Una akili timamu kweli wewe mtu?!Hivi wataalamu wa jiji na Serikali kwa ujumla wana mikakati yoyote ya kuweza KUVUNA MAJI YA MVUA? maana naskia huko dar maji changamoto sugu
Watu wa dar huwa wananifurahisha sana.Dar watu wana mbwembwe..utafikiri makoti yalikuwa standby
Sherehe za kigodoro za ccm kudodaAisee kweli naona inanyesha tu ...
Mungu anakuonaItasaidia kuonesha mafanikio ya CCM na kuwapa zaidi wapiga kura mwanga wa kufanya maamuzi sahihi hapo 28 Oct 2020.
Serious chige[emoji26]UONGO... na kwahiyo umepata dhambi!
Njoo uungame kanisani kwangu!
Wit wazungu kwa mzee wano?Inyeshe tu
Si kwa joto lile[emoji26]
Jana usiku nimekunywa ndoo nzima ya maji kwa lisaa tu