DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
mafuriko+kuzibua chembaMvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane...Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mafuriko+kuzibua chembaMvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane...Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.
Ndo umeandika nini hapa .?Jua baada ya hii litakuja JITU
Tena mpumbavu wa viwango vya ovyo kabisa. Kibaya zaidi upumbavu Ni kipaji. HaunadawaKumbe na wewe Ni mpumbavu
Ndo umeandika nini hapa .?
Ndo mlichokuwa mnajifunza hko shule.
Wanna bahar pale..WATAKUFAJE NA KIU huo ni uzembeHivi wataalamu wa jiji na Serikali kwa ujumla wana mikakati yoyote ya kuweza KUVUNA MAJI YA MVUA? maana naskia huko dar maji changamoto sugu
Ndo nini?Wit wazungu kwa mzee wano?
Tupo kwenye serekali ambayo inajinadi kutatua changamoto za wananchi kuliko serekali zote zilizopita halafu unasema kuwa Dar maji ni changamoto sugu?Una akili timamu kweli wewe mtu?!
🤣😂😂🤣🤣😂😂Hongera jpm kwa kuleta mvua ?
DuhView attachment 1598484
nyumba za kupanga kipindi cha kiangazi
niko around submarine hotelKahama hii uko wapi
Karibu pia submarineHii hali inafaa kwa kunywa supu ksribu hapa Galaxy tupate supu moto moto...
Wakati wengine wanasubiri wataalamu,wengine tunavuna wenyewe maji ya mvua na kutumia mwaka mzima.Hivi wataalamu wa jiji na Serikali kwa ujumla wana mikakati yoyote ya kuweza KUVUNA MAJI YA MVUA? maana naskia huko dar maji changamoto sugu
Mbona mimi hunikaribishi jamani!Karibu pia submarine