My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Hata UBELGIJI kuna MAFURIKO Jamani[emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi wa kiwango cha CHATO..Hongera jpm kwa kuleta mvua ?
Mi inanichoshaga tu inavyonyesha kwa mafungu kwani sisi huku shamba 😎 imenyesha hii alfajir tena ile ya kiasi tu na usiku kucha kulikuwa na vimanyunyu tu vya hapa na pale.
Ha ha haTMA wamefanyiwa ziara ya kushtukiza na mvua
Jinsia yako tafadhaliLeo usafiri hapa dsm umezingua sana, kutokana na hizi mvua
Mimi nipo Posta, nipo blocked, jangwani gari hazipiti. Kama upo posta nichek tupeane kampani ya kutembea mpka kimara
No daraja lipo sema limefunikwa nimepita hapo saa 12 nimevuka maji ya mapaja bora ushuke utembee tu kuna wanajeshi lakini wanashangaa tu pale hakufai kwa gari hamuwezi kupita sasa hivi.Mbona sioni mkisema kuhusu daraja la matumbi, kuna tetesi kuwa hatunalo tena, ni maneno tunayoyasikia huku kwenye daladala tukiwa hapa Mfugale kwenye foleni kwa masaa 3 taslimu sasa.
Mwenye taarifa sahihi tafadhali anijuze, kama ni kweli nianze tu marathon yangu.
Acha kukufuru mkuu. Mungu hapendi hivyo.Hongera jpm kwa kuleta mvua ?
Asante.No daraja lipo sema limefunikwa nimepita hapo saa 12 nimevuka maji ya mapaja bora ushuke utembee tu kuna wanajeshi lakini wanashangaa tu pale hakufai kwa gari hamuwezi kupita sasa hivi.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Lazima tukubali kwamba tunaishi nchi masikini....haya matatizo yanajirudia miaka yote....
Dah vipochi manyoya vyote vipo kwenye maji...mafuriko yana hila kwa kweli.Hata UBELGIJI kuna MAFURIKO Jamani[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1598980
Yani...it's such a shame!Lazima tukubali kwamba tunaishi nchi masikini....haya matatizo yanajirudia miaka yote....
Kwahiyo kwa hizo hesabu, kwa mwezi utakuwa unakunywa pipa mbili za maji, kwa mwaka unapiga kama pipa 25 hivi!!Serious chige[emoji26]