Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Vipi hali kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinsia yako tafadhali
Poleni leo watembea kwa miguu wamefaidi sana.Foleni ya leo balaa. Ninapoandiaka thread hii bado niko kwenye foleni Airport
Leo ni balaa for sure. Naona Traffic wamesusa leo.
Mkuu nimeamua kuzima Gari kabisa. Foleni imesimama kabusa saa 8 na dk17 muda huuHii ya foleni ya Banana majumba sita ni ya hovyo kiwahi kutokea.Naona serikali imeamua kutuachia wenyewe tupambane na hali zetu.Yaan toka saa kumi bado hata mataa ya majumba sita sikafika.wala hakuna dalili kama tutatoka hapa
Pole kwa mvua! Naona imekuchanganya, sielewi kichwa cha uzi na ulichoandika bila ya kusema umetumia muda gani, unatokea na unakwenda wapi, haiwezekani kujua madhali yanayokukuta.Foleni ya leo balaa. Ninapoandika thread hii bado niko kwenye foleni Airport
Leo ni balaa for sure. Naona Traffic wamesusa leo.
Kutoka Samora str to Pugu. Unatumia saa 13 self Drive.Pole kwa mvua! Naona imekuchanganya, sielewi kichwa cha uzi na ulichoandika bila ya kusema umetumia muda gani, unatokea na unakwenda wapi, haiwezekani kujua madhali yanayokukuta.
Kazi ya Traffic ni kukamata magari yenye vikosa vya kijinga ambavyo vinastahili elimu ndio kazi yao kubwa wale wash%%$$$$.Ila issue critical kama hii wanagwaya wao wanajua kushika tochi tu.Foleni ya leo balaa. Ninapoandika thread hii bado niko kwenye foleni Airport
Leo ni balaa for sure. Naona Traffic wamesusa leo.
Mkuu nimechekaa umemaanisha saa 13?🤣😂Kutoka Samora str to Pugu. Unatumia saa 13 self Drive.
Na hutosikia vyombo vya habari kesho vikiongelea hiiMimi tangu saa kumi nimetoka chang'ombe naelekea kinondoni,hapa ndio nipo maktaba na watu wengine wameamua kupaki magari yao petrol station wanalala hapo,hamna namna
Ndio maana yakeMkuu nimechekaa umemaanisha saa 13?[emoji1787][emoji23]
Ndio maana hata Petrol station ya Puma hapa Air port nimekuta magari kibao kumbe wanapiga usingizi!!Mimi tangu saa kumi nimetoka chang'ombe naelekea kinondoni,hapa ndio nipo maktaba na watu wengine wameamua kupaki magari yao petrol station wanalala hapo,hamna namna
Lakini leo imekuwaje na hii foleni? Kimsingi tumelala nje ya Nyumba zetu. Barabara nyingi zimezidiwa na Magari.Hapa kunawahindi wanafanya kitendo cha kiungwana sana,yaani wameamua kugawa maji ya kunywa kwa kila aliyepo kwenye gari,maana ni njaa na kiu tangu saa kumi jioni mpaka sasa watu wapo barabarani,foleni za kipuuzi hata chanzo hakijulikani,daah alafu tunaambiwa miundo mbinu safi,naona Mungu ameamua kutufunulia