D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
mlandizi-mbezi 1700+mbezi-kimara 400+kimara-town 650=2750 kwenda na kurudi=5500Mkuu unaishi Mlandizi unafanya kazi town au umetoka safari ?
Kama unaishi Mlandizi nakufanya shughuli zako mjini daily sipati picha gharama za usafiri
Uko sensitive Sana, kwa leo mvua inanyesha sehemu kubwa Sana ya dar na pwani, hajakosea Sana japo kiuandishi ame generalize,Sasa hiyo sio pwani yote, kafika Kisarawe, Bagamoyo na Kilwa?
.
Huu ni ujinga huwezi kusema mvua inanyesha pwani yote na dar yote wakati kuna maeneo kibao hayana mvua ndio maana hata TMA husema mvua itanyesha mkoa fulani kwa baadhi ya maeneo sio kotee
Hahahaha..Mtaani kwangu mvua ni kubwa na nyingi isipokuwa kwenye ofisi ya CCM hamna hata tone moja linalodondoka
uchadema mavi unakusumbua tu au utakuwa mchawi we mtuMtaani kwangu mvua ni kubwa na nyingi isipokuwa kwenye ofisi ya CCM hamna hata tone moja linalodondoka
Huku kwema kabisaNyumba zangu Mbezi Beach nimetoka kuimarisha mageti wiki iliyopita maji yasiingie ndani.
Mbezi Beach kuanzia Samaki Samaki mpaka Africana mmepona hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tma walishatoa angalizo yangu tarehe 10 na kusema alhamis ya Leo Hadi jpili kutakua na mvua kubwa kwa Pwani Dar Kind na visiwani
mkuu tangi bovu ya wapi 🤔 🤔 🤔 🤔
Geuka nyuma niko nyuma yako.
Leo tutasikia mengi. Hili wese si la kawaida
Nyumba zangu Mbezi Beach nimetoka kuimarisha mageti wiki iliyopita maji yasiingie ndani.
Mbezi Beach kuanzia Samaki Samaki mpaka Africana mmepona hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eneo gani halina mvua bwashee?!Sasa hiyo sio pwani yote, kafika Kisarawe, Bagamoyo na Kilwa?
.
Huu ni ujinga huwezi kusema mvua inanyesha pwani yote na dar yote wakati kuna maeneo kibao hayana mvua ndio maana hata TMA husema mvua itanyesha mkoa fulani kwa baadhi ya maeneo sio kotee
Hahahahaah dah! We jamaa umejuaje asee??