Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

dvj nasmiletz

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,079
Reaction score
2,254
Huwa najiuliza inakuaje kuna muda mvua inanyesha ndogo tu ambayo huitaji hata muavuli (rasha rasha)

Lakini muda mwingine hunyesha kubwa sana..kiasi kwamba mpaka mafuriko au kelele nyingi sana juu ya bati

Je, nini kinachopunguza au kuongeza hii presha ya mvua..ikiwa huko angani hakuna koki au kitu chochote kinachoizuia..mpaka nawaza au kuna matabaka mawili..mojanlenye matobo madogo madogo na lingine lenye matobo makubwa makubwa

Msaada tafadhali
 
Chukua kopo litie maji alafu litoboe chini automatically maji yata mwagiga mengi kwanza na yatamalizikia yakimwagika kidogo...na hapo utauliza je kopo lina koki.
Mfano wako nimeuelewa..lakini kwanini kopo hilohilo leo litoe maji mengi(mvua kubwa) mpaka yanamalizika na siku nyingine yatoke kidogokidogo(rasharasha) mpaka yanamalizika?
 
Mfano wako nimeuelewa..lakini kwanini kopo hilohilo leo litoe maji mengi(mvua kubwa) mpaka yanamalizika na siku nyingine yatoke kidogokidogo(rasharasha) mpaka yanamalizika?
Haijawai tokea mvua ikanyesha kubwa bila kumalizikia na ya manyunyu Kama nikivyoeleza kwenye kopo.

kwenye suala la kunyesha ndogo tu mwanzo mwisho tukirudi mfano wa kopo ni hilo kopo lijajaa means pressure ndogo.
 
Sasa hilo Ni swali la kuuliza mtu aliepata japo elimu ya darasa la Saba.

Hiyo ni mada ya darasa la 4.Swali la aibu kabisa mtu mzima tena yuko jf.

ELIMU ELIMU ELIMU
Naishi jiran na maktaba hapa...hebu nitajie hiyo mada inaitwaje? Ipo kitabu gani cha darasa la nne...ukurasa wa ngapi??niende kusoma Ili nipate jibu mkuu
 
Kuna mawingu mazito na mepesi... Mazito yanaleta mvua kubwa huku mepesi yakileta mvua za rasharasha.
Pia mawingu mazito yanaweza kunyesha mvua ndogondogo kutokana na hali ya hewa iliyoko angani.
Ndo nataka nijue hali ya hew ikiwa vp mvua mawingu yanatoa mvua kubwa au ndogo
 
Naishi jiran na maktaba hapa...hebu nitajie hiyo mada inaitwaje? Ipo kitabu gani cha darasa la nne...ukurasa wa ngapi??niende kusoma Ili nipate jibu mkuu
Acha ujinga.Una smartphone na bando umeweka halafu unashindwa kugoogle jinsi mvua inafanyiwa na aina zake.

Mjinga uliyetukuka.Tafuta hata dogo wa Drs la 5 akupige shule.vitu vingine mnaleta humu ni AIBU.
 
Haijawai tokea mvua ikanyesha kubwa bila kumalizikia na ya manyunyu Kama nikivyoeleza kwenye kopo.

kwenye suala la kunyesha ndogo tu mwanzo mwisho tukirudi mfano wa kopo ni hilo kopo lijajaa means pressure ndogo.
Tatizo ni Elimu , atakusumbua Tu huyo
 
Samahani mkuu naskia kuna malaika field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…