Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
1740993050738.jpg


Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
1740993053909.jpg


Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
12092d31461f40c284c519756cb05159.jpg
 
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479

Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480

Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Duh,Hilo kaburi lenye majina matatu,walizikwa watu watatu nyakati tofauti au?
 
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479

Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480

Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Halafu mbona inaonekana wanazika juu juu sana?
 
Back
Top Bottom