Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Hawa walijenga kwenye mkondo wa maji kabsa
250303-durban-graves.jpg
 
Ukoo wa mzee Mabula huku nyumba ya milele inaelea 😔 😟 🙁
images - 2025-03-03T195739.800.jpeg
 
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479

Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480

Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Israel aijawahii kumwacha mtu salama ukishindwa kwa silaha basi kwa MAOMBIII

Mwonyeshen RAISI wao
 
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479

Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480

Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Hioo Blue nn ama siijaelewa
 
Tunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479

Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480

Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Na we mleta mada una moyo na picha zako kha YAAN Unaweza KUWA HATA Mwanajeshi WA hamas aisee
 
Hii sasa ni shida! Kule chato,watusaidie kulinda lile kaburi la shujaa wetu.
 
Meya wa Durban Mheshimiwa Cyril Xaba amekataza watu kuzika kwenye mkondo wa maji. Na inaonekana ikipiga mvua nyingine basi madhara yatakuwa makubwa
 
mafuriko hayafiki futi sita...

Marehemu ni OG ila makaburi ya mchongo
Sure futi 6 ni parefu kiasi... Maji mpaka kuchimbua hivyo ujue basi hiyo ni njia yake ya siku zote watu wameyaingilia tu mkondo wake..

Hao wazikaji ndio wana shida.. Uzikaji wa mchongo yaani mradi tu wamezika basi.
 
Sure futi 6 ni parefu kiasi... Maji mpaka kuchimbua hivyo ujue basi hiyo ni njia yake ya siku zote watu wameyaingilia tu mkondo wake..

Hao wazikaji ndio wana shida.. Uzikaji wa mchongo yaani mradi tu wamezika basi.
Na mbaya ni kuwa hii sio mara ya kwanza
 
Nenda Kinondoni utaelewa, kaulize vizuri.
Hii hata Mwanza ipo sana makaburi ya mazingira ya mawe mawe, inasemekana kwa wale "proud to be" marehemu mpya anazikwa kaburi la zamani si wakichimba wanakuta mifupa tu wanasogeza pembeni wanaweka mwili mpya kazi inaisha.
 
Back
Top Bottom