Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchomwe, uzikwe kawaida, utupwe baharini haibadili hali, ukifa umekufa tu.Bora waindi wanaochomana wanabaki na jivu tu
Sasa hao marehemu wanavyopata mahangaiko na mafuriko si bora wangechomwa tuUchomwe, uzikwe kawaida, utupwe baharini haibadili hali, ukifa umekufa tu.
Wamekwambia wanapata mahangaiko?Sasa hao marehemu wanavyopata mahangaiko na mafuriko si bora wangechomwa tu
Mvua ujaiona mpaka imewafufuaWamekwambia wanapata mahangaiko?
Kufufuka ni nini?Mvua ujaiona mpaka imewafufua
Si kutoka kwenyekaburi lakoKufufuka ni nini?
Nilijua tu hili andishi lingeandikwa😳😳😳 hili joto la mwanza kali hivi kumbe kumbe kuna sehemu wafu wanakufa na mafuriko
Ndo hivyoTunaweza kuwa ni mipango ya Mungu ila haitoshi kuondoa imani kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa ndugu wa marehemu ambao waliwapumzisha wapendwa wao katika makaburi ndani ya Durban, Afrika Kusini.
View attachment 3257479
Mvua kubwa ilinyesha jana Jumapili na ni mvua ambayo inadaiwa kuwa ni level 5 imeleta madhara makubwa sana kwenye miundombinu kwenye mitaa ya Lamontville na hii sio mara ya kwanza kwani mwaka 2022 napo pia mvua kubwa ilibeba miili ya Marehemu na kuleta taharuki.
View attachment 3257480
Poleni wanaafrika wenzetu! Hili nalo litapita, kwa sasa mtafute namna bora ya uzikaji kwani sio picha bora kuona masalia ya marehemu yakiwa kwenye mafuriko.
View attachment 3257481
Hapana,ni lamtu aliyetesa wengine kwa sababu ya madaraka akiwa amejisahau kuwa Kuna siku atapotea kama wengineKwa hiyo hilo fuvu ni la thembinkosi
Hujui tafsiri ya ufufukoSi kutoka kwenyekaburi lako
Naijua sana sema nimetumia vibay tuHujui tafsiri ya ufufuko
Haya ndizi zile pale zinakusubiriNaijua sana sema nimetumia vibay tu
Kunywa ujui tuliaHaya ndizi zile pale zinakusubiri
Ujui ndio chakula ganKunywa ujui tulia