Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Hii hata Mwanza ipo sana makaburi ya mazingira ya mawe mawe, inasemekana kwa wale "proud to be" marehemu mpya anazikwa kaburi la zamani si wakichimba wanakuta mifupa tu wanasogeza pembeni wanaweka mwili mpya kazi inaisha.
Duuh aisee 😔
 
Back
Top Bottom