Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Pengine hayo makaburi yameingilia njia ya maji sasa mnategemea nn?

Haina tofauti na kujenga mabondeni kisha mvua ikija unaanza kutia huruma.
 
Tatizo lilitokea huko nyuma kwa mafuriko ila bado wakaendelea kuzika hapo hapo
Yaani kama sisi na msimbazi yetu kasoro makaburi
 
Ndo hivyo
 
Dah misukosuko hadi kaburini.........unatakiwa u rest in peace ila hata huko nako vurugu tu hakuna peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…