Mvua ya Jumapili huko Durban Afrika Kusini yaleta madhara kwenye makaburi

Hii hata Mwanza ipo sana makaburi ya mazingira ya mawe mawe, inasemekana kwa wale "proud to be" marehemu mpya anazikwa kaburi la zamani si wakichimba wanakuta mifupa tu wanasogeza pembeni wanaweka mwili mpya kazi inaisha.
Duuh aisee 😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…