Hahaahahahahahahahahahahahah.....Mvua ikinyesha Kanda ya Ziwa hayafiki Mtera wala Kidatu. Kumbuka jiografia ndiyo maana ya kufundishwa madarasani labda kama notisi zako ulifungia maandazi.
Huyo aliyewaambia Wapiga kura wasichanganye betri na magunzi tochi haitawaka. Mbona tochi yenyewe ndiyo hii mwanga hafifu???R.I.P Magufuli
Kwenye kipindi chako hatukuwahi kusikia huu upuuzi
Tueleweshe ww basitanesco wako sawa shida ni uwelewa kwa watanzania nafikiri
Maji yanaenda kuharibu miundombinu ya Tanesco!Sasa yanaenda wapi hayo maji...?
Wewe jamaa unawazidi hadi wanafamilia katika kumuenzi Hayati,ruhusu yapite aisee.R.I.P Magufuli
Kwenye kipindi chako hatukuwahi kusikia huu upuuzi
Utamkumbuka wewe usiyeelewa mbumbumbuHuyu Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga Muongo hafai kuwaMkurugenz waTanesko anasema uongo mchana kweupe. Siyo Rais Mama Samia suluhusu anawapata wapi hawa wasanii?Sihuwi Mama Rais anapangiwa na mtu kuwateuwa Wasanii kama huyu?Hii nchi tunako kwenda kubaya sana nchi haina Umeme wa kutosha nchi haina Maji safi eti kutakuwa kweli na maendeleo? tunaongozwa na viongozi wetu kam vile sisi ni wanyama wao.Wanatuongoza vile wanavyotaka wao wenyewe .Ewe Mwenyeezi Mungu tuokoe na haya matatizo amin.
View attachment 2824097
Tutakukumbuka Baba siku zote Ulale salama.
Kwani 2020 haijafika au ni upikaji wa takwimuHuyu Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga Muongo hafai kuwaMkurugenz waTanesko anasema uongo mchana kweupe. Siyo Rais Mama Samia suluhusu anawapata wapi hawa wasanii?Sihuwi Mama Rais anapangiwa na mtu kuwateuwa Wasanii kama huyu?Hii nchi tunako kwenda kubaya sana nchi haina Umeme wa kutosha nchi haina Maji safi eti kutakuwa kweli na maendeleo? tunaongozwa na viongozi wetu kam vile sisi ni wanyama wao.Wanatuongoza vile wanavyotaka wao wenyewe .Ewe Mwenyeezi Mungu tuokoe na haya matatizo amin.
View attachment 2824097
Tutakukumbuka Baba siku zote Ulale salama.
Mtanikumbuka 😂🔥🐼Duh aiseee
Wewe usiyeelewa ndo mwehu, maana hukumbuki hata jiografia
Nimemdharau sana huyu jamaa..hivi kwa akili yake anafikiri watu hawazioni hizo mvua...Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La
Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.
Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Walidhani hilo bomba litakuwa linazalisha na kusafirisha umeme wa gesi. Uhalisia ni kwamba hilo bomba linasafirisha gesi kidogo sana, chini ya asilimia 20% ya uwezo wake (installed capacity yake) kwa sababu gesi inayozalishwa huko Lindi na Mtwara ni kidogo sana.Ile porojo ya kuwa Bomba la gas ikifika Dar mgao wa umeme utakuwa ni historia mmeisahau? Au gas nayo inataka mvua?!