Mvutano Mirathi ya Mengi wapamba moto. Abdiel & Benjamin wapinga kutupwa maombi yao na Mahakama ya Rufani

Mvutano Mirathi ya Mengi wapamba moto. Abdiel & Benjamin wapinga kutupwa maombi yao na Mahakama ya Rufani

Waarabu na wahindi mbona hawapelekani mbele za haki mapema.

Wosia siupendi sababu unakuwa na maficho maficho kwa ndugu zako wa ukoo.

Tazama mirathi ya bilionea mengi na hata bilionea msuya. Zote zina wosia. Lakini bado ugomvi mkubwaa mpaka wanauana.

Wahindi na waarabu matajiri wanarithisishana mapema na bado utajiri haupotei
Watoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.
Tukiwa form 3 kuna mwarabu kwao walikuwa na company ya transport dogo alifatwa shule na v8 za enzi hizo hata kipindi kikiendelea aliitwa nje kwenye gari anasaini document kisha urudi darasani dereva anaondoka.Leo mtu mzima anauzoefu mkubwa wa kuendesha kampuni.
Kuna kisa amewahi mblock Mwalimu mkuu kwa nyuma na kichwa cha scania
 
Watoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.
Tukiwa form 3 kuna mwarabu kwao walikuwa na company ya transport dogo alifatwa shule na v8 za enzi hizo hata kipindi kikiendelea aliitwa nje kwenye gari anasaini document kisha urudi darasani dereva anaondoka.Leo mtu mzima anauzoefu mkubwa wa kuendesha kampuni.
Kuna kisa amewahi mblock Mwalimu mkuu kwa nyuma na kichwa cha scania
Ilikuaje mkuu tujuze

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Muendelezo wa hizi mali haupo tena... Ni ngumu sana kusikia akina GSM au Dewji kuwa na migogorokama hii

Wale wanarithisha watoto kabla hawajafa. Baba yao gsm kafa jana ila urithi katoa zamani

Mo dewji baba yake yupo hai ila urithi ameshatoa ndio maana mo anatamba

Sisi weusi urithi ni mpaka ufe na tena seke seke lianze
 
Nikisoma habari za hizi seke seke za bilionea mengi kwenye mirathi. Na zile za bilionea msuya kwenye mirathi.

Nagundua kuna makosa makubwa matajiri wanafanya kwenye malezi na mirathi.

Ni wakati sasa kila ukoo kuwa na katiba yao binafsi ya ukoo.. ambayo inakuwa imeeleza utaratibu wa kila kitu kwenye ukoo wao. Mtu anapoolewa ama kuoa huo ukoo apewe aisome kwanza katiba ya ukoo mpya kabla hajafunga ndoa. Na katiba hiyo isajiliwe kabisa kisheria.

Hizi ndoa za kikristo hizi ni za kizungu ukiziendekeza zinaamisha mali kwenye ukoo kama utani na kuzipeleka ukoo mwingine.

Mfano baba wa bilionea msuya. Mwanae amefariki na wengine wameuwawa kisa mirathi. Na bado mali za ukoo wao zinasimamiwa na kaka wa mke wa mtoto wao. Eti kisa mke yupo jela kwa kumuua wifi yake ila mali za ukoo wa msuya zinasimamiwa na kaka wa mke kutokea ukoo wa mrita.

Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Mzee msuya kabakiza watoto wa kike tu,wakiume wote ni marehemu
 
Watoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.
Tukiwa form 3 kuna mwarabu kwao walikuwa na company ya transport dogo alifatwa shule na v8 za enzi hizo hata kipindi kikiendelea aliitwa nje kwenye gari anasaini document kisha urudi darasani dereva anaondoka.Leo mtu mzima anauzoefu mkubwa wa kuendesha kampuni.
Kuna kisa amewahi mblock Mwalimu mkuu kwa nyuma na kichwa cha scania


Ni sawa na wa wachaga wa zamani, warishirikisha watoto wakiwa wadogo Dr.Mengi na Mama Mercy walianza kutengeneza Kalamu na watoto wao nyumbani mikono imechafuka na wino sana leo mjinga mmoja aje awatoe aseme anataka kurithi vyote .Damu ingemwagika
 
Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Wewe unamuoa MTT wa baba yako mkubwa ama mdogo,pia kwa shangazi unaoa,kwa mamdogo/makubwa unaoa.yaani utajiri unakuwa ndani ya familia.
Nishawahi taka oa MTT wa shangazi,home wakakataa.nilitaka tutoroke nchi jamani
 
Lakini sasa cha kushangaza sasa, wengi wa wanufaika wa mali za marehemu aliyekua muislamu, yaani watoto wa marehemu huwa hawataki mirathi itoke kwa sheria ya kiislamu, wanataka itoke kwa sheria ya mirathi (PAEA Cap 352)
Ujinga wao tu huo haswa w.ke ndo wanapenda kwenda mahakamani

Mungu katuleta duniani na katupa mfumo wa kutuongoza kamilifu ambao ni qur'an
 
Back
Top Bottom