Mvutano Mirathi ya Mengi wapamba moto. Abdiel & Benjamin wapinga kutupwa maombi yao na Mahakama ya Rufani

Mvutano Mirathi ya Mengi wapamba moto. Abdiel & Benjamin wapinga kutupwa maombi yao na Mahakama ya Rufani

Inavyosomeka hao kinabenjamin walirdhi hisa za marehemu mama yao na hisa za marehemu mengi aliwalisisha. Watoto wake mapacha baada wanandoa hao ambao waligawana hisa zao
 
Naona Kuna mtu atapotezwa muda si mrefu.watu wakichoka usumbufu huchukua maamuzi yasiyo na bugudha na shortcut!!
 
Mzee alifuata uzuri kwa binti mrembo(Alikua na uwezo wa kuoa wazee wenzake), na Jacky alifuata PESA. Sielewi mnaomuandama, mnadhani mzee hakujua pesa ndio imemuwezesha kumpata mtoto mzuri? aliacha type zake akaenda kupambana na mzee miaka yote iyo na watoto ukampa halafu asipate kitu. Ah aisee Jacky pambana.
Heri angeendelea kupambana na madame Ritha haya yote yasingetokea
 
Bila kumsahau the late bilionea Mrema wa Ngurdoto, Naura Spring, na Impala hotels Arusha.
Wote hao ngozi ya mkaa inategemea nn? Wahindi sharti kuu wanakatazwa kuoa weusi kuepusha Mbanga dizaini hizi
 
Hii sheria mbona sioni ikimsaidia mtoto wa mpakanjia na amina chifupa(muislamu)na wenzie kwa kudhulumiwa na msimamizi ambaye ni muislamu mwenzao?Kijana kutwa analalamika kwa mange na kesi keshapeleka mahakamani
Sio kama naupendelea Uislamu ila Uislamu umeeleza vzr sana mambo ya mirathi na ukifuata sheria hasaa hakuna atakaelalamika.
kwenye Uislamu ni jambo dogo sana hilo
 
Haya ndio madhara ya wanaume kuvuka stage. Mzee kufika fainali badala ya kutulia, ndio anaanza kuangaika na wadada wa mjini. Mwisho wa siku jina na heshima vinachafuka, na mali zinaweza kwenda hivi hivi tu.

Only simps play themselves by marrying these types of chicks. Just burst a nut and step, if you're not strong enough to resist.
 
Yule Mzee alichoharibu kama kweli ni yeye mwenyewe ndiye kaandika ule wosia ni kuwabagua wale watoto wake wakubwa kwamba wasipate chochote kwenye urithi wake, yeye kama alitaka kuwanyima angeweza kusema tu warithi nguo au kitu kingine chochote kisichokuwa na thamani kubwa basi.

Lakini kuwanyima kabisa ndipo alipokosea.
Hata taahira hawezi kuamini kama Mengi kaandika ule wosia, yeye kaandikiwa, kapelekewa kitandani wakati anakaribia kukata roho, akaambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu India, akasaini, baada ya kusaini, ndio hivyo tena, wakafanya walilofanya..
 
Hata taahira hawezi kuamini kama Mengi kaandika ule wosia, yeye kaandikiwa, kapelekewa kitandani wakati anakaribia kukata roho, akaambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu India, akasaini, baada ya kusaini, ndio hivyo tena, wakafanya walilofanya..
Sema watoto walizembea kumuacha mzee wao auguzwe na Jacquiline, hata kama alikataa wasingemsikiliza
 
Inavyosomeka hao kinabenjamin walirdhi hisa za marehemu mama yao na hisa za marehemu mengi aliwalisisha. Watoto wake mapacha baada wanandoa hao ambao waligawana hisa zao
Kuna kesi ilitolewa uamuzi wa kuongeza muda wa kufunga mirathi ya Mercy Mengi kwa sababu Mercy Mengi bado anamiliki 35% ya Share katika mali za Reginald Mengi, kwa hiyo wakaomba mahakama iongeze muda ili kusubiri maamuzi ya kesi ya mirathi ya Reginald Mengi, mahakama ilikubali na kuongeza muda wa miezi 6.
 
Hivi wewe leo ukipewa wosia uusaini wakati upo kati kati ya tendo la ndoa na unakaribia kumwaga bao zito sana, na unaambiwa saini vinginevyo unachomolewa kwenye K ili bao lako liishie katikati, utasaini au hausaini?!!! Lazima utasaini tu ili upate ile raha ya mida mfupi, ila je, wosia huo utakuwa halali kisa tu umesaini mwenyewe tene kwa hiari bila kushikiwa bunduki?!! Sasa alichofanya huyu mdangaji kwa mwengi kinatofauti gani na hii scenario niliyoieleza?! Ukizingatia mtu alikuwa amepatwa na kiharusi, ni mgonjwa na hafikirii vizuri?! Sasa huo wosia usitenguliwe kwa nini?! Tutumie akili zetu vizuri jamani, sio kubishana na kujaza server tu...

Inshort, atafute mali zake, aache kung’ang’ania walizochuma wengine
Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?
 
Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?
Kitabu alikiandika ndani ya mwaka mmoja ?
 
... dah; hivi hii inawezekana? Unaachaje kuwa mzazi wake labda?
Screenshot_20220303-125724_Chrome.jpg

Habari nzima ipo hapa Kwanini tajiri huyu anamkana mtoto wake? - BBC News Swahili
 
Ukiwa na pesa shida ukiwa masikini shida..Yani tafarani
 
Kitabu alikiandika ndani ya mwaka mmoja ?
Jibu linaweza kuwa hapana, ni zaidi ya mwaka mmoja. Watahoji zile kurasa au habari zilizoandikwa kitabuni kuanzia muda aliotajwa kuwa ni mgonjwa (kama zipo) je ni za kweli au zina mushkeli? Kwamba kitabu ni halali kwa miaka aliyokuwa mzima na sio halali kwa stori zilizoandikwa akiwa mgonjwa?
 
Nikisoma habari za hizi seke seke za bilionea mengi kwenye mirathi. Na zile za bilionea msuya kwenye mirathi.

Nagundua kuna makosa makubwa matajiri wanafanya kwenye malezi na mirathi.

Ni wakati sasa kila ukoo kuwa na katiba yao binafsi ya ukoo.. ambayo inakuwa imeeleza utaratibu wa kila kitu kwenye ukoo wao. Mtu anapoolewa ama kuoa huo ukoo apewe aisome kwanza katiba ya ukoo mpya kabla hajafunga ndoa. Na katiba hiyo isajiliwe kabisa kisheria.

Hizi ndoa za kikristo hizi ni za kizungu ukiziendekeza zinaamisha mali kwenye ukoo kama utani na kuzipeleka ukoo mwingine.

Mfano baba wa bilionea msuya. Mwanae amefariki na wengine wameuwawa kisa mirathi. Na bado mali za ukoo wao zinasimamiwa na kaka wa mke wa mtoto wao. Eti kisa mke yupo jela kwa kumuua wifi yake ila mali za ukoo wa msuya zinasimamiwa na kaka wa mke kutokea ukoo wa mrita.

Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Tufanyaje? Ili kuweza kutoka Hapa
 
Nlisikia nami mda tu ila dogo ni mjinga sana,hata akiongea unajua tu ni hewa...mjomba na mama zake wadogo walikua hawana mia erasto alipokuepo,leo kila mmoja anamiliki kitengo pale SG resort
Huyo dogo anabanduliwa na mzungu?
 
Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?
Hauwezi sababu wakati anasaini huo wosia alikuwa kitandani, kuna uwezekano wakati anasainishwa hakuwa hata anajua ni nini hasa, most likely aliambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu, na kwakua anataka kupona akasaini, baada ya kusaini wakammaliza. Maana kipindi kile anakaribia kuaga dunia Jacky alimzungushabkwenye vyombo vya habari kufanya publicity stunts ili ionekane wanapendana sana, kumbe ni maandalizi wanafanya
 
Back
Top Bottom