KIFOROKOKWINYO
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 177
- 108
Inavyosomeka hao kinabenjamin walirdhi hisa za marehemu mama yao na hisa za marehemu mengi aliwalisisha. Watoto wake mapacha baada wanandoa hao ambao waligawana hisa zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri angeendelea kupambana na madame Ritha haya yote yasingetokeaMzee alifuata uzuri kwa binti mrembo(Alikua na uwezo wa kuoa wazee wenzake), na Jacky alifuata PESA. Sielewi mnaomuandama, mnadhani mzee hakujua pesa ndio imemuwezesha kumpata mtoto mzuri? aliacha type zake akaenda kupambana na mzee miaka yote iyo na watoto ukampa halafu asipate kitu. Ah aisee Jacky pambana.
Wote hao ngozi ya mkaa inategemea nn? Wahindi sharti kuu wanakatazwa kuoa weusi kuepusha Mbanga dizaini hiziBila kumsahau the late bilionea Mrema wa Ngurdoto, Naura Spring, na Impala hotels Arusha.
Disco kaingia mmasaiSasa ilitakiwa iwe wazi kwenye umiliki
Yaani nani ana miliki kipi na kipi
Sio kama naupendelea Uislamu ila Uislamu umeeleza vzr sana mambo ya mirathi na ukifuata sheria hasaa hakuna atakaelalamika.
kwenye Uislamu ni jambo dogo sana hilo
Hata taahira hawezi kuamini kama Mengi kaandika ule wosia, yeye kaandikiwa, kapelekewa kitandani wakati anakaribia kukata roho, akaambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu India, akasaini, baada ya kusaini, ndio hivyo tena, wakafanya walilofanya..Yule Mzee alichoharibu kama kweli ni yeye mwenyewe ndiye kaandika ule wosia ni kuwabagua wale watoto wake wakubwa kwamba wasipate chochote kwenye urithi wake, yeye kama alitaka kuwanyima angeweza kusema tu warithi nguo au kitu kingine chochote kisichokuwa na thamani kubwa basi.
Lakini kuwanyima kabisa ndipo alipokosea.
Sema watoto walizembea kumuacha mzee wao auguzwe na Jacquiline, hata kama alikataa wasingemsikilizaHata taahira hawezi kuamini kama Mengi kaandika ule wosia, yeye kaandikiwa, kapelekewa kitandani wakati anakaribia kukata roho, akaambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu India, akasaini, baada ya kusaini, ndio hivyo tena, wakafanya walilofanya..
Kuna kesi ilitolewa uamuzi wa kuongeza muda wa kufunga mirathi ya Mercy Mengi kwa sababu Mercy Mengi bado anamiliki 35% ya Share katika mali za Reginald Mengi, kwa hiyo wakaomba mahakama iongeze muda ili kusubiri maamuzi ya kesi ya mirathi ya Reginald Mengi, mahakama ilikubali na kuongeza muda wa miezi 6.Inavyosomeka hao kinabenjamin walirdhi hisa za marehemu mama yao na hisa za marehemu mengi aliwalisisha. Watoto wake mapacha baada wanandoa hao ambao waligawana hisa zao
Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?Hivi wewe leo ukipewa wosia uusaini wakati upo kati kati ya tendo la ndoa na unakaribia kumwaga bao zito sana, na unaambiwa saini vinginevyo unachomolewa kwenye K ili bao lako liishie katikati, utasaini au hausaini?!!! Lazima utasaini tu ili upate ile raha ya mida mfupi, ila je, wosia huo utakuwa halali kisa tu umesaini mwenyewe tene kwa hiari bila kushikiwa bunduki?!! Sasa alichofanya huyu mdangaji kwa mwengi kinatofauti gani na hii scenario niliyoieleza?! Ukizingatia mtu alikuwa amepatwa na kiharusi, ni mgonjwa na hafikirii vizuri?! Sasa huo wosia usitenguliwe kwa nini?! Tutumie akili zetu vizuri jamani, sio kubishana na kujaza server tu...
Inshort, atafute mali zake, aache kung’ang’ania walizochuma wengine
Kitabu alikiandika ndani ya mwaka mmoja ?Kuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?
... dah; hivi hii inawezekana? Unaachaje kuwa mzazi wake labda?
Jibu linaweza kuwa hapana, ni zaidi ya mwaka mmoja. Watahoji zile kurasa au habari zilizoandikwa kitabuni kuanzia muda aliotajwa kuwa ni mgonjwa (kama zipo) je ni za kweli au zina mushkeli? Kwamba kitabu ni halali kwa miaka aliyokuwa mzima na sio halali kwa stori zilizoandikwa akiwa mgonjwa?Kitabu alikiandika ndani ya mwaka mmoja ?
Tufanyaje? Ili kuweza kutoka HapaNikisoma habari za hizi seke seke za bilionea mengi kwenye mirathi. Na zile za bilionea msuya kwenye mirathi.
Nagundua kuna makosa makubwa matajiri wanafanya kwenye malezi na mirathi.
Ni wakati sasa kila ukoo kuwa na katiba yao binafsi ya ukoo.. ambayo inakuwa imeeleza utaratibu wa kila kitu kwenye ukoo wao. Mtu anapoolewa ama kuoa huo ukoo apewe aisome kwanza katiba ya ukoo mpya kabla hajafunga ndoa. Na katiba hiyo isajiliwe kabisa kisheria.
Hizi ndoa za kikristo hizi ni za kizungu ukiziendekeza zinaamisha mali kwenye ukoo kama utani na kuzipeleka ukoo mwingine.
Mfano baba wa bilionea msuya. Mwanae amefariki na wengine wameuwawa kisa mirathi. Na bado mali za ukoo wao zinasimamiwa na kaka wa mke wa mtoto wao. Eti kisa mke yupo jela kwa kumuua wifi yake ila mali za ukoo wa msuya zinasimamiwa na kaka wa mke kutokea ukoo wa mrita.
Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Huyo dogo anabanduliwa na mzungu?Nlisikia nami mda tu ila dogo ni mjinga sana,hata akiongea unajua tu ni hewa...mjomba na mama zake wadogo walikua hawana mia erasto alipokuepo,leo kila mmoja anamiliki kitengo pale SG resort
Hapo sasaHii sheria mbona sioni ikimsaidia mtoto wa mpakanjia na amina chifupa(muislamu)na wenzie kwa kudhulumiwa na msimamizi ambaye ni muislamu mwenzao?Kijana kutwa analalamika kwa mange na kesi keshapeleka mahakamani
Mzungu sijui ila tetesi zipo toka mwaka juziHuyo dogo anabanduliwa na mzungu?
Hauwezi sababu wakati anasaini huo wosia alikuwa kitandani, kuna uwezekano wakati anasainishwa hakuwa hata anajua ni nini hasa, most likely aliambiwa saini hapa ili upewe rufaa ya matibabu, na kwakua anataka kupona akasaini, baada ya kusaini wakammaliza. Maana kipindi kile anakaribia kuaga dunia Jacky alimzungushabkwenye vyombo vya habari kufanya publicity stunts ili ionekane wanapendana sana, kumbe ni maandalizi wanafanyaKuna Mdau amesema hapo juu kuwa mzee Mengi aliandika kitabu kuhusu maisha yake; akimaanisha kuwa mzee alikuwa na akili kabisa mpaka kuandika kitabu ambacho kilishazinduliwa na kinauzwa mpaka sasa. Huu hauwezi kuwa utetezi wa Jacquiline?