Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Watoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.Waarabu na wahindi mbona hawapelekani mbele za haki mapema.
Wosia siupendi sababu unakuwa na maficho maficho kwa ndugu zako wa ukoo.
Tazama mirathi ya bilionea mengi na hata bilionea msuya. Zote zina wosia. Lakini bado ugomvi mkubwaa mpaka wanauana.
Wahindi na waarabu matajiri wanarithisishana mapema na bado utajiri haupotei
Ilikuaje mkuu tujuzeWatoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.
Tukiwa form 3 kuna mwarabu kwao walikuwa na company ya transport dogo alifatwa shule na v8 za enzi hizo hata kipindi kikiendelea aliitwa nje kwenye gari anasaini document kisha urudi darasani dereva anaondoka.Leo mtu mzima anauzoefu mkubwa wa kuendesha kampuni.
Kuna kisa amewahi mblock Mwalimu mkuu kwa nyuma na kichwa cha scania
PolesanaKwa hiyo ukiwa tajiri huna haki ya kupenda?
Ukiwa tajiri mke wako akikuzingua mkatengana huna haki ya kuwa na mwanamke mwingine kisa wewe ni tajiri?
Muendelezo wa hizi mali haupo tena... Ni ngumu sana kusikia akina GSM au Dewji kuwa na migogorokama hii
Mzee msuya kabakiza watoto wa kike tu,wakiume wote ni marehemuNikisoma habari za hizi seke seke za bilionea mengi kwenye mirathi. Na zile za bilionea msuya kwenye mirathi.
Nagundua kuna makosa makubwa matajiri wanafanya kwenye malezi na mirathi.
Ni wakati sasa kila ukoo kuwa na katiba yao binafsi ya ukoo.. ambayo inakuwa imeeleza utaratibu wa kila kitu kwenye ukoo wao. Mtu anapoolewa ama kuoa huo ukoo apewe aisome kwanza katiba ya ukoo mpya kabla hajafunga ndoa. Na katiba hiyo isajiliwe kabisa kisheria.
Hizi ndoa za kikristo hizi ni za kizungu ukiziendekeza zinaamisha mali kwenye ukoo kama utani na kuzipeleka ukoo mwingine.
Mfano baba wa bilionea msuya. Mwanae amefariki na wengine wameuwawa kisa mirathi. Na bado mali za ukoo wao zinasimamiwa na kaka wa mke wa mtoto wao. Eti kisa mke yupo jela kwa kumuua wifi yake ila mali za ukoo wa msuya zinasimamiwa na kaka wa mke kutokea ukoo wa mrita.
Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Mzee msuya kabakiza watoto wa kike tu,wakiume wote ni marehemu
Mbona hatusikii haya mambo kwa wenzetu waarabu na wahind wa hapa bongo juu ta mirath kwenda mahakaman
Sisi ngiz nyeus tuna shida sehemu hasa kurndekeza kichwa Cha chini yaan mguu wa tatu madhara yake ndio haya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa ilitakiwa iwe wazi kwenye umiliki
Yaani nani ana miliki kipi na kipi
Watoto wao ushirikishwa tangu wadogo kwenye uendeshaji.
Tukiwa form 3 kuna mwarabu kwao walikuwa na company ya transport dogo alifatwa shule na v8 za enzi hizo hata kipindi kikiendelea aliitwa nje kwenye gari anasaini document kisha urudi darasani dereva anaondoka.Leo mtu mzima anauzoefu mkubwa wa kuendesha kampuni.
Kuna kisa amewahi mblock Mwalimu mkuu kwa nyuma na kichwa cha scania
Wewe unamuoa MTT wa baba yako mkubwa ama mdogo,pia kwa shangazi unaoa,kwa mamdogo/makubwa unaoa.yaani utajiri unakuwa ndani ya familia.Haya mambo wahindi na waarabu wapo makini nayo sana. Ndio maana hawapotezi utajiri wao vizazi na vizazi
Ujinga wao tu huo haswa w.ke ndo wanapenda kwenda mahakamaniLakini sasa cha kushangaza sasa, wengi wa wanufaika wa mali za marehemu aliyekua muislamu, yaani watoto wa marehemu huwa hawataki mirathi itoke kwa sheria ya kiislamu, wanataka itoke kwa sheria ya mirathi (PAEA Cap 352)
Kesi ya kutengua huyo mama iko mahakamani,hukumu ya mauaji ikitoka inamtupa mariam nje ya kusimamia..lini ulisikia mali ya inasimamiwa na ndgu wa mkeMirathi ya mtoto wake bilionea inasimamiwa na ukoo wa mke. Kaka wa mke anasimamia mali za msuya