Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Huku mambo yanawaka wazungu wanasema ifike mahali tuwe na mdomo wa kuongea
Sasa wote wanataka kuongeza budget zao za Ulinzi na kukata misaada ya nchi masikini
Ni mda sasa wa kuwatimua wasiotaka kusikia
Marekani atawafanya Ulaya kuinganisha nguvu kubwa jambo ambalo litapunguza ushawishi wa Marekani.

Endapo Marekani atajiondoa NATO na kujitenga na Ulaya ajue nguvu na ushawishi wake utapungua.

Kumbuka vita vyote alivyopigana Us, Ufaransa na UL walimuunga mkono
 
Nikionaga argument za kitoto namna hii kwenye huu mgogoro hua nasikitika naishia kublock, mnafuatiliaga hata mambo madogo madogo nyie?

Unajua ilibaki kidogo kutokea ww3 mwaka '62 baada ya Urusi ku station makombora ya nyuklia Cuba na kufanya hiki hiki wanachofanya Nato na Marekani Ukraine?
Mpumbavu putin yeye huyohuyo avamie nchi ya watu, afu huyo huyo aanze kutishia nyuklia, afu Zelensky ndo aambiwe anataka kusababisha ww3!!😄😄😄, Je Tanzania tuko tayari kupangiwa marafiki na kenya? Je Cuba wako tayari kupangiwa wa kushirikiana naye na US?
 
Zalensky ametaka wajue wapo na Rais wa Ukraine sio sio Mjumbe wa nyumba kumi!! Wazungu wa ULAYA + USA sio watu kamili yani wa Ukraine wamekufa kama sisimizi yote ni Ukraine kujaribu kulikumbatia koti la ULAYA leo tena Rais wao Wanataka Aseme ASANTE!!!!!!
 
Marekani atawafanya Ulaya kuinganisha nguvu kubwa jambo ambalo litapunguza ushawishi wa Marekani.

Endapo Marekani atajiondoa NATO na kujitenga na Ulaya ajue nguvu na ushawishi wake utapungua.

Kumbuka vita vyote alivyopigana Us, Ufaransa na UL walimuunga mkono
Marekani peke yake hawezi vita
Alikimbizwa Somalia mpaka wakatoa na movie
Watoto wa Baba huko kwenye pembe yetu
Hakuna vita anaweza zaidi ya ndege kama waisrael

Ulaya wataungana na sio European union tu bali Ulaya yote kwani wameitisha mkutano wa Dharura

Ingawa kila mmoja anaangalia maslahi yake, lakini Trump anafanya mengine sivyo
 
Marekani peke yake hawezi vita
Alikimbizwa Somalia mpaka wakatoa na movie
Watoto wa Baba huko kwenye pembe yetu
Hakuna vita anaweza zaidi ya ndege kama waisrael

Ulaya wataungana na sio European union tu bali Ulaya yote kwani wameitisha mkutano wa Dharura

Ingawa kila mmoja anaangalia maslahi yake, lakini Trump anafanya mengine sivyo
Huyu babu ni mlafi wa waziwazi
 
Asante kwa kunipotezea vijana wangu nguvu kazi ya Taifa la UKRAINE uyu YAHUDI akili anayo pengine!!!!! Lkn Namashaka wanatuchezea picha la kihindi!!!

Ili iyonekane kama Hataki vile kama yupo kutetea rasilimali za UKRAINE Nasema Aya kwa Sababu mwanzo uyu Zelensky Aligoma kabisa kutoa Madini ¿¿¿¿ mala baada ya Siku kadhaa!!!¿¿ Akakubali kutoa ayo Madini!!!

jana Kajidai kutetea Heshima ya UKRAINE na rasilimali zake pengine baada Siku kadhaaa Tutasikia Tayali Wanakutana ili kusaini Mkataba YAHUDI Sijawai kuwaamini!!!

ngoja Tuone ili Picha Mana uyu Zalensky ni YAHUDI pengine Jasusi wa MAREKANI anacheza na Akili za wa UKRAINE na Dunia!!!!!
 
Asante kwa kunipotezea vijana wangu nguvu kazi ya Taifa la UKRAINE uyu YAHUDI akili anayo pengine!!!!! Lkn Namashaka wanatuzea picha la kihindi!!!

Ili iyonekane kama Hataki vile kama yupo kutetea rasilimali za UKRAINE Nasema Aya kwa Sababu mwanzo uyu Zelensky Aligoma kabisa kutoa Madini ¿¿¿¿ mala baada ya Siku kadhaa!!!¿¿ Akakubali kutoa ayo Madini!!!

jana Kajidai kutetea Heshima ya UKRAINE na rasilimali zake pengine baada Siku kadhaaa Tutasikia Tayali Wanakutana ili kusaini Mkataba YAHUDI Sijawai kuwaamini!!!

ngoja Tuone ili Picha Mana uyu Zalensky ni YAHUDI pegine Jasusi wa MAREKANI anacheza na Akili za wa UKRAINE na Dunia!!!!!
Umejua kumsoma vizuri jamaa. Nawaambia watu kwamba hii script ilishapangwa kitambo - ni suala la utekelezaji tu.

Inaonekana Zele alishakubali zamani sana, ila sasa ndani ya Ukreni kuna njema hazitaki.

Kwa hiyo lazima utumike mfumo wa sinema ili kuwazuga - Zele anaonekana shujaa na mzalendo wakati huohuo Marekani na Ulaya wanakula tenda za madini.

Hapo hapo pia bila kumsahau swahiba Putin anaondoka na mnofu wake wa maeneo aliyojimegea.

Huu ukweli mchungu sana ambao kp kipanya44 hatamani kabisa kuusikia popote.
 
Alicho kua anakifanya Trump kwa Zele, Ni kama CEO wa kampuni flani, Awe anamwambia demu kua kama unataka kazi, tukutane hotel flan utoe kasusu. Na unaweza kutoa kasusu na kazi usipewe.

Bravo Zelensky
 
Nimemuona Huruma Huyu mtu
Jamaa kawa Kama Jibwa fulani
kakosa Heshima wanamuona kama Jinga Fulani hivi
umasikini Mbaya sana

View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895536558452904031?t=p-D0Oe1zDp7MzwMdxDzu_w&s=19

Yaani kijana wa miaka 44 amepambana na Rais wa Marekani na Makamu wa Rais wake hadi kijasho kimewatoka halafu unamdharau? Kwa taarifa yako, Zele ameonesha yeye ni Kiongozi wa Kweli wa wananchi wake. Alipotua Uingereza akijibu swali la mwandishi kwa mbaaaali alisikika akisema, "F..k him"! Unafikiri alimtukana nani?
 
Back
Top Bottom