Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Nini?Kuichambia je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini?Kuichambia je?
Hakuna Mawakili wote ni Wasomi ndio maana hukuti Wakili kashtakiwa kizembekunawakili ambae sio msomi mkuu?
Wewe ni mtoto wa tajiri au maskini? Au wewe ni chawa unayejivisha uungwana kwa kutoa vitisho kulinda maslahi yako ya kisiasa?Endeleeni kuwapotosha vijana kutoka familia maskini huku wa kwenu mkiwahimiza kuwa makini na kujiepusha na siasa za kipumbavu. Huwezi kukuta mtoto wa kiongozi wa ngazi za juu CHADEMA anafanya harakati za kipumbavu au kuropoka hovyo. Watoto wa maskini kama kina Mdude ndo hutolewa kafara ili kupata political mileage. Wewe mleta uzi nina uhakika huwezi ruhusu mwanao achukue picha ya Rais na kuichoma huku akirekodi video.
😂Kuichambia je?
Wacha wakapambane kisheria hilo neno lako inasemakana usirudie tena!Kwamba hata yule kijana aliyekamatwa Rungwe kwa kosa la kuipiga kiberiti picha ya Rais Samia, hana kosa lolote na hata wakamataji hawajui wampachike kesi gani, maana kwa katiba ya Tanzania kitendo kile ni sawa na mtu kuokota makaratasi ili awashie mkaa kwenye jiko lake.
Inadaiwa kukamatwa kwake kumesababishwa na mihemko tu na fikra duni za viongozi wa Mbeya
View attachment 3033206
Ruksaaa, hakikisha unachambia usawa wa sura na macho.Kuichambia je?
Neno lipi?Wacha wakapambane kisheria hilo neno lako inasemakana usirudie tena!
Sasa kwanini asiseme tuu wakili hadi aseme wakili msomi?Hakuna Mawakili wote ni Wasomi ndio maana hukuti Wakili kashtakiwa kizembe
Kwamba nini?Kuichambia je?
Mdude umewahi kumchangia pesa ya kujikimu na au kusomesha watotowake?Endeleeni kuwapotosha vijana kutoka familia maskini huku wa kwenu mkiwahimiza kuwa makini na kujiepusha na siasa za kipumbavu. Huwezi kukuta mtoto wa kiongozi wa ngazi za juu CHADEMA anafanya harakati za kipumbavu au kuropoka hovyo. Watoto wa maskini kama kina Mdude ndo hutolewa kafara ili kupata political mileage. Wewe mleta uzi nina uhakika huwezi ruhusu mwanao achukue picha ya Rais na kuichoma huku akirekodi video.
Ni suala mtambuka Ila Msomi maana yake ni Msomi hivyo hivyo Msomi maana yakeSasa kwanini asiseme tuu wakili hadi aseme wakili msomi?
RuksaKuichambia je?
Kwamba wote wanaouliza maswali ya kuichambia Picha ya rais wa Nchi watungiwe Sheria watupwe ndaniKwamba nini?
Itungwe sheria kuwatia mbaroni watu wanaouliza maswali ya hivi..
Mbele ya cameraRuksa
Wakili ni mwakilishi, kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa wakili. Wakili msomi ni mwakilishi aliye na taaluma ya sheria na kibali cha kusimama mahakamani kwa niaba ya mtu au taasisi.Sasa kwanini asiseme tuu wakili hadi aseme wakili msomi?
my friend, republic hawajawahi kukosa kosa la kushitaki.Kwamba hata yule kijana aliyekamatwa Rungwe kwa kosa la kuipiga kiberiti picha ya Rais Samia, hana kosa lolote na hata wakamataji hawajui wampachike kesi gani, maana kwa katiba ya Tanzania kitendo kile ni sawa na mtu kuokota makaratasi ili awashie mkaa kwenye jiko lake.
Inadaiwa kukamatwa kwake kumesababishwa na mihemko tu na fikra duni za viongozi wa Mbeya
View attachment 3033206
SAWA wakiliWakili ni mwakilishi, kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa wakili. Wakili msomi ni mwakilishi aliye na taaluma ya sheria na kibali cha kusimama mahakamani kwa niaba ya mtu au taasisi.
Bila shaka umeona tofauti!
Ndio, huo ni utovu wa nidhamu.Kwamba wote wanaouliza maswali ya kuichambia Picha ya rais wa Nchi watungiwe Sheria watupwe ndani
mnajifariji, kosa lipo.Hakuna kosa pia
msisitizoSasa kwanini asiseme tuu wakili hadi aseme wakili msomi?