Mwabukusi asipotumia taaluma yake vyema, hekima na busara kuongoza TLS atavurunda zaidi ya ilivyokuwa kwa Tundu Lissu na Fatma Karume

Itajulikanaje wakati mmoja alishambuliwa na malisasi na mwingine akalushiwa mabomu kwenye ofisi yake... hivi wewe wakati haya mambo yanafanyika ulikuwa wapi? masikio hayakusikia wala habari za kusimuliwa na vyombo vya habari na macho hayakuona luningani kilichokuwa kinaendelea wakati huo. Chonde chonde, msije mkapitisha Mwabukusi kule kwenye tanuru mlimo wapitisha wengine halafu mnajifaragua kwamba hawakufanya kitu...
 
Wewe pepo mchafu tulia.
Umepagawa na pepo wachafu
unaweweseka gentleman?

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe daima, Mwenyezi Mungu akujalie utulivu wa kudumu akilini na moyoni, na useme Aimen πŸ™

amini Mungu utakaa sawa tu
 
Ni mpumbavu huyu jamaa anaandika uharo humu alafu anataka sapoti anahisi sote ni wajinga kama yeye
 
Uliowataja wote ni wapambani haki,so unataka kusema kina hosea ndo walifanya vizuri??

Maccm bhana.
ni muhimu zaidi ukaweka records za Lisu na Fatma ili walau kumsaidia boss mpya wa TLS mwabukusi, tofauti na hapo hatumsaidii na matokeo yake atafail completely πŸ’
 
Unapona sema Lissu na Fatma walivurunda bila ya kusema nani alifanya vizuri na wakati wa uongozi wake TLS ilikua bora sana, unafanya hoja yako kuwa ya kichawa ungetoa mfano wakati wa kiongozi huyu TLS ilifanya haya na haya kwa maslahi haya ya taifa hapo ungekuwa umemsaidia hata huyo kiongozi wa sasa ambae ndio unampa ushauri.
 
Lissu alikaa hapo muda gani? Hata kiez mitatu haikufika akapata matatizo. Rest of his days alispend kitandani. Som basically hakuleta impact yoyote. Uwe unatunza record humu ndani huongei na watoto
 
Ccm hapendi haki mtu anayetetea haki ni adui yao
ni muhimu ikaeleweka vizuri kwamba TLS ni Taasisi ya umma na kwaajili ya maslahi mapana ya waTanzania wote

ikiwa unachuki binafsi na CCM ni vyema ukawatafuta huko kwenye platforms nyingine lakini sio kule chuki zako binafsi dhidi ya CCM kwenye mjadala wa kitaifa ambao ni muhimu sana kama huu πŸ’
 
vp Lisu na Fatma,
Kiliwashinda nini au hata kukumbuka tu kwamba walikua mabosi wa TLS hukumbuki?

they did nothing completely 🀣

kwababu ya kiburi, jeuri na ujuaji mwingi kumbe mbele kiza πŸ’
Dogo Kuna kipimo Cha performance Tls? Mbona Unahangaika na comparison zisizokuwepo?
 
We chawa mkuu ndio maana lisu mlimpiga risasi mapema sio mnazidi kudhihirisha kwa wananchi kua ccm sio wapenda haki wao na serikali yao
gentleman,
nimeshauri tu kitaalamu namna abavyo boss mpya wa TLS anaweza kufanikisha kazi na majukumu mazito ya kitaifa ya TLS na kuepuka kuvurunda kama walivyovurunda Lisu na Fatma kwenye uongozi wao πŸ’

chuki binafsi na makasiriko yako mengine tafuta namna binafsi ya kudeal nayo plz πŸ’
 
Ndugu mwandishi unajaribu kusema kuwa..... Kwahiyo wayafumbie macho?? Umetumwa?
 
Dogo tetea haki za watu achana na serikakali

Huko tuendako utakuja noshukuru

Hivi vijibando unavyopewa lumumba visikuvimbishe bichwa
 
Mpaka mmemkumbuka Lissu!! Lissu!Lissu huyu aliyetakiwa mahakamani Dodoma wakati mkijua jioni yake kulikuwa na uchaguzi!

Mlaumuni aliyewadanganya kuongeza muda hadi miaka mitatu mkitegemea machawa yenu yatashinda.Mlaumuni aliyemwekea figisu Mwabukusi hadi akapata Hadi kura za benefit of doubt! Hii kitu ndo inaitwa BOOMERANG!
 
Shida sio Mwabukusi. Huenda kwa sababu sio kada wa kijani, ataandamwa mno na kupe/chawa wa kijani.
akikwepa kuendesha TLS kama walivyoendesha Lisu na Fatma atafanikiwa...

atumie tu taaluma yake vizuri, hekima na busara na for sure historia itamkumbuka....

akishupaza shingo basi ataingia kwenye record za walishindwa kuindesha TLS kama Lisu au Fatma πŸ’
 
ndio chai yenyewe hiyo gentleman, tena ya mkono moja,

inachoma au inaunguza?🀣

ukweli bana dah πŸ’
Labda nikuulize yule Hoseah aliekuja na falsafa ya kukosoa kwa ustaarabu....alifanya nini ambacho unaweza kukisema off your head right now? Hata alichosimamia katika swala la Haki za waTz na himan rights.

Taja mambo mawili tu....nchi hii haihitaji kuchekeana tena. Hawanunaotaka wachekewe ni kima, ukicheka wanakula wanamaliza na wanakuparu vilevile
 
Kwahiyo mtu akitetea watu anakuwa hafai, ila waziri, atetee polisi, serikali, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya nk, hata kama hawako sawa? Acha uchawa KAZI ya wakili ni kutetea anayeonekana kuonewa. Iwe serikali, taasisi, kiwanda, mtu binafsi au Kampuni.
relax gentleman,

tumia ubobevu wako vyema wa kitaalamu, hekima na busara kuchochea mageuzi na katika kutekeleza majukumu yako ya kila siku, na kwa uhakika na ufanisi mkubwa utafanikiwa sana ukiwa na nidhamu πŸ’
 
I can confirm to you without fear of contradictions kwamba akitumia style walizotumia Lisu na Fatma kuongoza TLS atavurunda zaidi yao...

akitumia ubobevu wake wa kitaaluma, kwa hekima na busara kushauri na kupendekeza mageuzi na kushauriana na serikali njia na namna bora za kulinda na kutetea haki za wanaodhulumika , atafanikiwa na historia itamkumbuka πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…