Pre GE2025 Mwabukusi: Kabla ya Maridhiano huwa tunaanza na Muafaka, Chadema tuonyesheni huo Muafaka wa Kitaifa vinginevyo hayo makubaliano yenu hayako kisheria!

Pre GE2025 Mwabukusi: Kabla ya Maridhiano huwa tunaanza na Muafaka, Chadema tuonyesheni huo Muafaka wa Kitaifa vinginevyo hayo makubaliano yenu hayako kisheria!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais wa TLS Mh BAK Mwabukusi amesema kabla ya Maridhiano huanza na Muafaka vinginevyo Bila muafaka hayo Maridhiano yanabaki kuwa domestic arrangements hayana nguvu ya kisheria wala Uhalali wa kisiasa

Mwabukusi amewataka Chadema watuonyeshe huo Muafaka wa kitaifa

Ni Ukurasani X

Anaanza kwa kusema..

HUKU SITE TULETEENI TUNDU ANTIPAS LISSU MUGWAY.

Kabla ya Maridhiano huwa tuna anza na muafaka.Mnao piga kelele ya Maridhiano tuonesheni muafaka wa Kitaifa( kinyume cha hapo inabaki kuwa domestic arrangement isiyokuwa na nguvu ya kisheria wala uhalali wa kisiasa.
Umuhimu wa Muafaka:Muafaka wa kitaifa huweka misingi ya kuelewana kuhusu masuala nyeti kama haki za kisiasa, mgawanyo wa madaraka, uchumi, na utawala wa sheria. Bila msingi huu, maridhiano yanaweza kuwa ya juu juu tu.

Yani inakuwa kama habgaisha Bwege au Meli iliyo baharini bila kujua inakoelekea.Kipaumbele cha Misingi: Muafaka wa kitaifa hutoa mwelekeo wa pamoja kwa jamii nzima, unaotoa nafasi kwa maridhiano kuwa endelevu na yanayokubalika kwa wengi Je, hao wana maridhiano wamewahi kukuonesha Muafaka wa kitaifa ulio jumuishi na na wenye nguvu za kisheria? ( Jiulize nami ni Jiulize ili mwisho tuulizaneWenzetu huanza na Muafaka kabla ya Maridhiano.)

Ni vyema kufikia muafaka wa kitaifa kwanza ili maridhiano yawe na nguvu ya kudumu. Hata hivyo, hali halisi inaweza kulazimisha kuanza na maridhiano kama njia ya kujenga mazingira ya kufanikisha muafaka.

Katika muktadha wa Tanzania, au nchi yoyote yenye changamoto za kijamii na kisiasa, ni muhimu kufuata njia inayochukua mtazamo wa pande zote na kulenga maslahi ya muda mrefu.Kwa hiyo katika hila bado Tundu Antipas Mughway Lissu anatosha......​
 
Rais wa TLS Mh BAK Mwabukusi amesema kabla ya Maridhiano huanza na Muafaka vinginevyo Bila muafaka hayo Maridhiano yanabaki kuwa domestic arrangements hayana nguvu ya kisheria wala Uhalali wa kisiasa

Mwabukusi amewataka Chadema watuonyeshe huo Muafaka wa kitaifa

Ni Ukurasani X

Anaanza kwa kusema..

HUKU SITE TULETEENI TUNDU ANTIPAS LISSU MUGWAY.

Kabla ya Maridhiano huwa tuna anza na muafaka.Mnao piga kelele ya Maridhiano tuonesheni muafaka wa Kitaifa( kinyume cha hapo inabaki kuwa domestic arrangement isiyokuwa na nguvu ya kisheria wala uhalali wa kisiasa.
Umuhimu wa Muafaka:Muafaka wa kitaifa huweka misingi ya kuelewana kuhusu masuala nyeti kama haki za kisiasa, mgawanyo wa madaraka, uchumi, na utawala wa sheria. Bila msingi huu, maridhiano yanaweza kuwa ya juu juu tu.

Yani inakuwa kama habgaisha Bwege au Meli iliyo baharini bila kujua inakoelekea.Kipaumbele cha Misingi: Muafaka wa kitaifa hutoa mwelekeo wa pamoja kwa jamii nzima, unaotoa nafasi kwa maridhiano kuwa endelevu na yanayokubalika kwa wengi Je, hao wana maridhiano wamewahi kukuonesha Muafaka wa kitaifa ulio jumuishi na na wenye nguvu za kisheria? ( Jiulize nami ni Jiulize ili mwisho tuulizaneWenzetu huanza na Muafaka kabla ya Maridhiano.)

Ni vyema kufikia muafaka wa kitaifa kwanza ili maridhiano yawe na nguvu ya kudumu. Hata hivyo, hali halisi inaweza kulazimisha kuanza na maridhiano kama njia ya kujenga mazingira ya kufanikisha muafaka.

Katika muktadha wa Tanzania, au nchi yoyote yenye changamoto za kijamii na kisiasa, ni muhimu kufuata njia inayochukua mtazamo wa pande zote na kulenga maslahi ya muda mrefu.Kwa hiyo katika hila bado Tundu Antipas Mughway Lissu anatosha......​
Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia
 
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi amesema kabla ya kuanza kwa maridhiano ya aina yoyote yale ni vyema wahusika wa hayo maridhiano wakatambua kuwa wanao wajibu wa msingi wa kuanza na muafaka, na kama jambo hilo ni la Kitaifa basi moja kwa moja inaohitajika ni muafaka wa Kitaifa

Ikiwa ni sehemu ya mjadala kuhusu mchakato wa uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na ikiwa ni sehemu ya mjadala kuhusu Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa sasa wa CHADEMA Taifa anayegombea tena kutetea kiti chake) na Tundu Lissu (Makamu Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Tanzania Bara na mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) kuhusu nani anatosha kushika kijiti hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, Wakili Mwabukusi amesema kuwa mtazamo wake unaamini kuwa Lissu ambaye pia ni Wakili ni mtu sahihi kuongoza chama hicho kikuu cha upinzani hapa nchini kwa kipindi hiki

"Kabla ya maridhiano huwa tunaanza na muafaka, mnaopiga kelele ya maridhiano tuonesheni muafaka wa Kitaifa, kinyume cha hapo inabaki kuwa domestic arrangement isiyokuwa na nguvu ya kisheria wala uhalali wa kisiasa" -Wakili Mwabukusi

"Muafaka wa Kitaifa huweka misingi ya kuelewana kuhusu masuala nyeti kama haki za kisiasa, mgawanyo wa madaraka, uchumi, na utawala wa sheria, bila msingi huu maridhiano yanaweza kuwa ya juu juu tu, yaani inakuwa kama 'babaisha bwege' au meli iliyo baharini bila kujua inakoelekea, muafaka wa Kitaifa hutoa muelekeo wa pamoja kwa jamii nzima, unaotoa nafasi kwa maridhiano kuwa endelevu na yanayokubalika kwa wengi, je hao wana maridhiano wamewhi kukuonesha muafaka wa Kitaifa ulio jumuishi na wenye nguvu za kisheria, jiulize nami nijiulize ili mwisho tuulizane" -Wakili Mwabukusi

"Wenzetu huanza na muafaka kabla ya maridhiano, ni vyema kufikia muafaka wa Kitaifa kwanza ili maridhiano yawe na nguvu ya kudumu, hata hivyo hali halisi inaweza kulazimisha kuanza na maridhiano kama njia ya kujenga mazingira ya kufanikisha muafaka, katika muktadha wa Tanzania au nchi yoyote yenye changamoto za kijamii na kisiasa, ni muhimu kufuata njia inayochukua mtazamo wa pande zote na kulenga maslahi ya muda mrefu, kwa hiyo katika hili bado Tundu Lissu anatosha" -Wakili Mwabukusi
IMG_2021.jpeg
 
Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia
Odm Kilibadilishwa Jina Mwaka 2011 Na kuwa WDM..
Na Unaijua Kweli Historia Ya ODM ?
Ni histiria Tofauti kabisa na CHADEMA..
ODM ilikuwa Movement kama Ilivyokuwa UKAWA..

Yaani nitakushangaa ukiniambia kwamba Eti UKAWA haina Mwenyekiti Tangu ianzishwe..

ODM ilipochange kuwa WDM ndo ikawa Chama cha Siasa lakini kabla ilikuwa Movement
 
Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama
 
Back
Top Bottom