luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Ndio hapo sasaKama ni NChi moja mbona kuhusu bandari za zanzibar hazimo na Mkataba unasema Bandari za Tanzania
Ccm wote ni vibaka.Nyerere alishaiuza Tanganyika litambo acha wabara wahangaike.
Wajinga mko wengi mpaka aibuHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Sheria ya Zanzibar hairuhusu MTU asiye mzanzibar kumiliki ardhi acha upotoshaji
Hao wanakodishiwa hawauziwiSipotoshi mkuu. Ardhi inapatikana, kama upo tayari twende nitakufikisha hadi kwa wahusika na hati utapata kutoka serikalini.
Fuata utaratibu, kama huna hela usisingizie sheria.
Hata uzanzibari wenyewe unapatikana bure kisheria. Wapo waluguru, wamasai, wamakonde, wasukuma... wengi tu ni wazanzibari kwa kuzaliwa au kuishi Zanzibar.
Au unataka kusema wale wataliano, na hawa ndugu zetu wanaoishi Zanzibar wamemiliki kinyume na sheria?
Imeandikwa wapi kwenye mkataba.Hao wanakodishiwa hawauziwi
Wewe umeshapazoea inaonekana.Wahi mirembe hospital mara moja
Hat Kama ila mam wetu Ni mweupe Jana aliongeaa Tena nilitetemeka hatari na nilikuwa ndani mleHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Ulitetemeshwa na maneno yake mazuri siyo?Hat Kama ila mam wetu Ni mweupe Jana aliongeaa Tena nilitetemeka hatari na nilikuwa ndani mle
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unamtukana baba yako mpendwa wa taifa siyo?Ccm wote ni vibaka.
Yaani wewe kwa matusi hayo lazima Nshalla atakuwa baba yako mdogo.Wamekuzuia nini sasa wewe Pimbi
Wewe fala ndio hujitambui kabisaa!Hawa uliowataja ni mawakala wa wazungu wenyewe wenye kuchukia wanapoona tunataka kufaidika na bandari kwa asilimia mia moja.
Wengi wa hawa wanasheria ni watu wanaolipwa baada ya kuongea mbele ya waandishi wa habari hivyo ni silaha muhimu ya siri ya wenye pesa katika vita dhidi ya mipango ya serikali.
Rais Samia unaweza kumuona mpole lakini yupo kimkakatia sana kuliko hawa wanasiasa wapiga kelele wanavyomchukulia.
Hawa wapiga kelele wanawafanyia jambo baya sana wadau halisi wa bandari ambao wanaunga mkono mia kwa mia uwekezaji huu.
Kuna hizi ICD yaani container depot ni sehemu ya kuhifadhi mizigo zilizobuniwa katika awamu ya nne na ya tatu, ambazo kwa kiasi kikubwa ni mali za mawaziri na mabosi wengine wa serikalini, hawa watapinga uwekezaji wa DPW.
Akija huyu mwekezaji kutakuwa hakuna sababu ya mzigo kuhifadhiwa kwenye yard ya mtu eti ukisubiri kwenda kupakiwa melini, hizi foleni zilizotengenezwa ndizo zinazowapa ulaji wafanyabiashara wachache wa mijini, ni upumbavu mtupu unaoendelea pale TPA.
Mitambo ya kisasa itapakua na kupakia mzigo wa melini kwa haraka zaidi na ufanisi utakaokuwepo utawafanya wafanyabiashara wafikirie masuala mengine kwenye huo muda wanaotumia kufikiria kutoa au kuingiza makontena bandarini.
Kundi la wanaopinga uwekezaji linawatumia hawa wanasiasa wenye kuheshimiwa mbele ya umma kwa ajili ya kujenga hofu na picha hasi juu ya kinachotaka kufanyika lakini mwisho wao umeshakaribia.
Wewe acha kum- RUGEMELEZA NSHALLA mwenzako.Wewe fala ndio hujitambui kabisaa!
Watu hatupingi uwekezaji bali tunapinga aina ya mkataba ambao ni wa kipigaji ulioambatana na rushwa kubwa.
Unaifahamu mikataba ambayo serikali imesaini na inafanya kazi muda huu?, tofauti ya hiyo mikataba na huo wa DP ni ipi?, usikaririshwe tu kama kasuku.Wewe fala ndio hujitambui kabisaa!
Watu hatupingi uwekezaji bali tunapinga aina ya mkataba ambao ni wa kipigaji ulioambatana na rushwa kubwa.