Narudia, inabidi kuunganisha nguvu makundi yote na si kupingana kama Mwabukus et al anavyofanya malumbano na chadema. Tunaipa CCM advantage tukinza kulumbana wenyewe kwa wenyewe....U disappointed me Kwa comment hii.
Kumbe wasaliti ni Hawa Hawa wanaojiita WAPINZANI!!
Mgao wa umeme ukizidi kama ilivyo sasa, kumbe inahitajika tupate ridhaa ya Wananchi Kisha tuingie bungeni kuepuka kuonekana pressure group!!"Ni lazima upate ridhaa ya wananchi kwanza kisha uingie Bungeni ndio utetee maslahi ya Wananchi." Unafikiria backwards.
Basi vamia Bandari uiendeshe tuone."Ni lazima upate ridhaa ya wananchi kwanza kisha uingie Bungeni ndio utetee maslahi ya Wananchi." Unafikiria backwards.
Na kuungana ni vitendo, Si maneno,Narudia, inabidi kuunganisha nguvu makundi yote na si kupingana kama Mwabukus et al anavyofanya malumbano na chadema. Tunaipa CCM advantage tukinza kulumbana wenyewe kwa wenyewe....
Well saidThinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a party of his own!
Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
Mwabukusi ni mama waste of space and soon atakua kama WengineSina hakika unayapata wapi haya uliyoyaandika. Kwamba ni illusions tu? Umeandika kwa kirefu, nitakujibu vivyo hivyo:
1. Hapana hiyo si thinking yangu. Ni jambo la kushangaza sana hata Ile kuwa na wazo tu. Kulikoni kunibashiria thinking zako ndugu?
"Sijui kwa nini mna makasiriko hivi?"
Kufanana kwa Wanaowanyanyapaa kina Mwabukusi na visa vya Yesu
Nini tofauti yenu na ya kisa cha kaka wa mwana mpotevu?
2. Unajielekeza kusiko. Maneno ya hekima haya yanaweza kukuhusu sana ndugu:
View attachment 2776334
Si busara hata kidogo kuwafikiria wengine namna ambayo kumbe yaweza kuwa inakuhusu wewe. Uswahilini wakisema nyani haoni k*ndule.
3. Kwani una maana hivi vyama vilivyopo kuna wenye hati miliki? Nani anataka kusajili vyama vingine? Kulikoni kujikita kwenye yasiyokuwapo?
Kama mkristo ninaweza kusali kwa Mzee wa upako, Rashid, kwa Mwamposa hadi TEC huko na nikapata upako vile vile.
"Hivi huwa hata mnasoma au hata kufuatilia au kujitahidi kuelewa lolote? Wekeni makasiriko pembeni ndugu, mtaweza kuona vizuri.
Agenda zake kasema ni hizi hapa;
1. Katiba mpya ni sasa.
2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
3. Bandari haziko sokoni.
"Kwani wewe hutaki katiba mpya? Kwani wewe ni dalali wa DP world?"
4. Hili ni jambo jingine la kushangaza mno. Wewe si Mwabukusi. Unaweza vipi hata kufikiria kuwa yeye?
Ushauri wa bure kwako:
"Wewe si uutumie huo ushauri wako mzuri, Ili ukafanye vyema zaidi? Tukikuelewa utatuona tu wala hutatuita."
"Mwabukusi hajatuita bali tumemwona kwenye tunayosimama nayo tukamwelewa."
Zingatia uzi huu ni wa Machi 21, 2023:
Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?
Kumbe basi, nani anamwunga mkono nani? Kumwunga mkono mtu ni haki ya mtu yeyote.
Tushindane kwa hoja. Hoja haipingwi jwa rungu
Wapi kawa rival na Chadema? Ushahidi uko wapi? Wengine sisi hatu advocate rivalry:
"Hatuna adui wa kudumu wala rafiki.'
Habari ndiyo hiyo.
kwani alianza kuukosa ubalozi akawa hivi au alikuwa hivi slaa ndo akanyang'anywa ubalozi?The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia![emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fine, but aligombea ubunge kupitia NCCR......Alikuambia anatafuta kupigiwa kura?
Kwa mujibu wa Bwana imhotep . Nadhani ni ulimbukeni.Mgao wa umeme ukizidi kama ilivyo sasa, kumbe inahitajika tupate ridhaa ya Wananchi Kisha tuingie bungeni kuepuka kuonekana pressure group!!
Umeandika nini sasa?Basi vamia Bandari uiendeshe tuone.
Huo ni ushauriUmeandika nini sasa?
Akili yako unayoiona kubwa imeshindwa kungamua kuwa bila platform imara ya kusemea huwezi kuitikisa serikali! Sasa ngoja tuone kama hii TRIO itafika wapi! Mwanza wamerudi wamelowa! Can you comment on that?Akili yako unayoiona kubwa imeshindwa kung'amua kwamba Chama sio issue kwenye jambo hili msingi analolipigania Mwabikusi....na unaamini katika uwezo wa Chama kubeba maono makubwa.
Hapana endelea na shughuli zako hadi 2025 muingie Bungeni.Sasa unashauri tuandamane hadi TANESCO?
mbovuHuo ni ushauri
nani mpinzani? Me? Not at all, ila naungana na wapigania haki wote, chadema, mwabuKusi, mdude BUT NOT SLAAU disappointed me Kwa comment hii.
Kumbe wasaliti ni Hawa Hawa wanaojiita WAPINZANI!!
Ndio raha ya Wanademokrasiambovu
Akienda chadema atapoteza hata fikia malengo yake Kama Akina tundu risu pale chadema ccm Wana mkono waoThinking yako ni kuwa anapaa! zaidi ....anashindana na nani na atampita nani? Tatizo lako ni kuwa shallow thinking takes you to a wrong judgement... why? atapita wapi na hana chama/platform firm ya kupigia kura yake? Samia for that matter mtungi, will never allow him to have a pachrty of his own!
Ningelikuwa Mwabukusi ningelitafuta platform kama Chadema nikauza sera zangu for future upladder! The problem nikuwa anaanza kuwa rival wa chadema akimfuata Slaa ambaye mwenye akili anajua kuwa huyu kakosa Ubalozi hivyo ana "bifu" na Samia!
Usilinganishe mambo ya wafanyabiashara na kodi na MOVEMENT ya kuiondoa serikali madarakani (KWA NJIA ZA KISHERIA) . YOU WILL BE CONFRONTED ACORDINGLY WHEN YOU ARE SINGLE. Lakini kama mko wengi kwenye legally established movement kama chama cha siasa, mtaitikisa serikali na kukubali katiba mpya/tume huru!Yaani anajaribu kutwambia Kwa Mfano,
Wafanyabiashara walipoona mfumo wa ukandanizaji wa Kodi kupitia maafisa wa tra umezidi,
Kwamba wafanyabiashara kariakoo wasingeandamana, wangeanzisha chama Cha siasa!!