Kama sahani kabatini husigana, iweje WANADAMU wenye utashi na uhuru wa maamuzi,
We are one, adui ni MMOJA tu kikongwe CCCm!!
Acha upuuzi, ananuna Kinana.Chadema watanuna
Watanzania wanapima kwanza nia ya Wakili MwabukusiHiyo ndiyo taabu ya waarabu lakini pale HAMAS alikuwa anamaliza shida yote. Kila mtu aka kaa kwake.
Bahati mbaya kama wao kama sisi:
Kulikoni jitihada za kina Mwabukusi kutoungwa mkono na kila mtaka katiba mpya sasa au kila mtaka bandari zisiuzwe?
Warejee kutoka Mashindoni.Acha warejee kwa kushindo
Watanzania wanapima kwanza nia ya Wakili Mwabukusi
Wananuna chadema wanaotaka attention yote ielekezwe kwaoAcha upuuzi, ananuna Kinana.
Warejee kutoka Mashindoni.
Kwani wewe chadema unawaonaje na ubinafsi wao ule?Polisi wame fabricate stori ati CHADEMA imelalamikia nyimbo zake kupigwa nyimbo zake kwenye Mkutano wa S.W
Hakuna Kiongozi yeyote wa CHADEMA aliyewapigia simu Mapolisi na kulalamika kuhusu Copyright breach.Kwani wewe chadema unawaonaje na ubinafsi wao ule?
SawaHakuna Kiongozi yeyote wa CHADEMA aliyewapigia simu Mapolisi na kulalamika kuhusu Copyright breach.
Waambie Mapolisi waweke huo ushahidi kama wanao.Sawa
Kwani Mbowe anasemaje?Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.
Kulikoni?
1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.
"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:
View attachment 2775874
Mungu atupe nini?
Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:
View attachment 2775877
Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.
"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."
Tuonane Tahrir.
Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.
Kulikoni?
1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.
"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:
View attachment 2775874
Mungu atupe nini?
Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:
View attachment 2775877
Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.
"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."
Tuonane Tahrir.
Chawa utahangaika mwisho wa siku utakata pumzi. Sauti ya watanzania haijawahi kuwakilishwa na watu watu watatu.
Hivi ni nani anafadhili movement ya hili kundi la Mwabukusi? Kwa interest gani? Najua hawana ruzuku.
Mnachokonoa yasiyochokonoleka....Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.
Kulikoni?
1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.
"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:
View attachment 2775874
Mungu atupe nini?
Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:
View attachment 2775877
Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.
"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."
Tuonane Tahrir.
Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."View attachment 2776019
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishapatikana TISA DESEMBA....Safari ya Ukombozi iendelee!!
Mnachokonoa yasiyochokonoleka....
Ile Mizimu...
Mizimu ya kule Bagamoyo iko radhi kufanya lolote kulilinda taifa hili dhidi ya hayo mambo ya TAHRIR.....
Ni agano kuu lisilojua siasa za kiliberali.....
Nchi hii ni "special" na teule duniani....siasa zake ni za kipekee na si za kuiga.......
#Never give wisdom to unworthy because it is unjust to the knowledgeable [emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]