- Thread starter
- #21
Kama sahani kabatini husigana, iweje WANADAMU wenye utashi na uhuru wa maamuzi,
We are one, adui ni MMOJA tu kikongwe CCCm!!
Tatizo langu wengine huwa wako humu:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Nasubiri Mwashambwa. Hulia kuliko wafiwa.
Kulia machozi ya mamba si taabu.
Umemwona baba paroko, hatimaye kajikakamua?