Mizimu tulishamalizana nayo!!Mnachokonoa yasiyochokonoleka....
Ile Mizimu...
Mizimu ya kule Bagamoyo iko radhi kufanya lolote kulilinda taifa hili dhidi ya hayo mambo ya TAHRIR.....
Ni agano kuu lisilojua siasa za kiliberali.....
Nchi hii ni "special" na teule duniani....siasa zake ni za kipekee na si za kuiga.......
#Never give wisdom to unworthy because it is unjust to the knowledgeable [emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
Huna habari watu wanatakiwa wahame?