Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Mnachokonoa yasiyochokonoleka....

Ile Mizimu...

Mizimu ya kule Bagamoyo iko radhi kufanya lolote kulilinda taifa hili dhidi ya hayo mambo ya TAHRIR.....

Ni agano kuu lisilojua siasa za kiliberali.....

Nchi hii ni "special" na teule duniani....siasa zake ni za kipekee na si za kuiga.......

#Never give wisdom to unworthy because it is unjust to the knowledgeable [emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
Mizimu tulishamalizana nayo!!

Huna habari watu wanatakiwa wahame?
 
Marekani anapeleka Misaada ya kila aina Israel

Palestine wametengwa na waarabu wenzao
Waarabu wamewachoka wapalestina.....misaada wanapata kutoka Iran na wakomunisti.....[emoji1787]

Eti ile Mizimu yetu ya Bagamoyo itaruhusu mwendelezo wa "TAHRIR"?!!!

Leo nitapandisha jini moja mjukuu wa wale wakulungwa wa kule Bagamoyo "aliposimikwa" MWENYEHERI....litanipa umbeya wa kiendeleacho TAHRIR ya hawa waliberali akina Brazaj [emoji1787][emoji1787]
 
Vitu vyote tulivyoletewa au tulivyoiga nje lazima vitupe tabu. Waafrika tulipotea sana kupokea haya yaliyoletwa na wazungu.
Wao wanasiasa zilizoendelea sana huku sisi tunaendekeza chuki uhasama na ulafi wa mali hatujui yupi mwema na mwema kwa nani pia, leo waliotuletea siasa wanakosoana na wanapiga hatua wanafanya maendeleo kwaajili ya wengi hata kama sio wote watakaokula keki ila hali zinaunafuu leo watu wenye elimu ndio wanaongoza kufanya ujinga ambao wajinga wasingefanya na wao wanaona kabisa ni ujinga. Tuombe Mungu hawa tuwadhaniao wawe ndio haijalishi chama misimamo ya mtu ndio inahitajika kwenye kuongoza na kufanya siasa mbali na misingi yenyewe ya siasa na uongozi
 
Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.

Kulikoni?

1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.


"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:

View attachment 2775874

Mungu atupe nini?

Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:

View attachment 2775877

Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.

"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."

Tuonane Tahrir.
hawa waanzishe chama cha siasa wakati mapambano haya yanaendelea.
 
Wanaowatum hawa, tec, ni wakufinywa mmoja mmoja tu.
Assalaam alaykum ukhty il kiraam [emoji120]

Uko hai mpaka muda huu ?!!

Ule mstari wenu wa mbele ulikuwa unanyeshewa sana mabomu....

Za Gaza ?!!!

Vipi tena kuwaingiza TEC kwa haya ya TAHRIR?![emoji15]
 
CCM #2? Wazima huko ndugu? Ila msitutishe!

Bila kukomaa HAMAS waisrael wangekuwa wanasebuka dansi mpakani pale hali watoto wa kipalestina wanakufa njaa na mazingira yale.

Kuchokonoa? Wewe hata kama katiba mpya hutaki, bandari nazo je?
Wanachokomalia HAMAS si agano la kimizimu kati ya akina BIBI na hiyo ardhi yao ya ahadi za kiimani....

Haya ya TAHRIR yako "VILINGENI" mwa mizimu yetu mikuu ,Brazaj unafeli wapi ?!!!

Sikutishi nakukumbusha tu maagano ya babu zako/zangu na ile mizimu yetu KISIKI [emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa naona wako very serious.Serikali ya chama cha mapinduzi,inachanganywa,yaani hawa wanapata nguvu,huku Lissu anarudi kuja kuipa nguvu operesheni +255
 
Back
Top Bottom