Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Basi tuseme, wakitaka kumaliza tatizo la hao watu, wawaondoe hapo wote, kwa kuwau!
. Kuwahamisha pekee haitoshi kumaliza tatizo; tofauti ya hapo, ni kutafuta njia ya kukubali kuishi kwa heshima kwa kila upande.
Balozi wa Palestine huko UN ameomba Israel isiruhusiwe kujilinda kwani itakuwa ni sawa na kuwapa License to kill
 
Balozi wa Palestine huko UN ameomba Israel isiruhusiwe kujilinda kwani itakuwa ni sawa na kuwapa License to kill
Haya maneno umeyatunga mwenyewe, au vipi?

"Israel isiruhusiwe kujilinda", ikiwa na maana kujilinda kwa Israel ni kuwaua waPalestina?

Na hawa waPalestina wao hawatakiwi "kujilinda"?

Kwani tatizo ni nini. Nani anaruhusa ya kujilinda dhidi ya mwingine, na kwa sababu zipi?

Hao walioanzisha hilo tatizo ndio wana wajibu wa kulitatua.
 
Ila usiwe na bashasha inayopitiliza furaha ya Moyo wako.

Mbona unaongea kama Kuna jambo Jipya limetokea!!

Kwani bashasha linakukera ndugu?

Bashasha ni muhimu linatupa morali kuelekea Tahrir. Kwa hakika hakuna jipya bali tunafurahia tu, agenda zetu zile zile kupata kujibiwa tunavyoamini.

Kumbuka tunajua CCM hataridhia na majibu yako Tahrir:

1. Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?

2. Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Kwani na wewe hutaki katiba mpya au ungeipenda hii biashara ya bandari?

Kumbe kulikoni tusiwe na bashasha?

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
 
Balozi wa Palestine huko UN ameomba Israel isiruhusiwe kujilinda kwani itakuwa ni sawa na kuwapa License to kill

Kujilinda vipi kwenye maeneo ya wizi? Kujilinda si unajilnda kwako?
 
Tungepata watu wabishi kama 100 tu kama mdude, tungekuwa mbali sana.
 
Kalamu Kuna mtu anayeweza kulitatua hili tatizo??
Waliomjenga na kumpa kiburi Israel na kumfanya sasa awe nje ya uwezo wao wana wajibu wa kujaribu kumkumbusha Israel umuhimu wa kutambua kuwa usalama wake ni kutafuta njia za kuishi kwa amani na jirani zake na kuheshimiana nao. Itambulike wazi kwamba kila mmoja wao anayo haki ya kuishi kwa amnai kwa kuheshimiana.

Hali ya wapalestina ya kunyang'anywa hata hicho kidogo kilichobaki, na kuwa wakimbizi bila kuwa na mahali wanapoweza kupaita kwao, hilo ni tatizo lisiloweza kufumbuliwa kwa nguvu za silaha.

Kwa hiyo, hao wakubwa waliolianzisha hapo, wana wajibu wa kulitafutia ufumbuzi wa haki katika kila kundi kwa kadri iwezekanavyo.
Wasiukwepe wajibu wao huo.
 
Basi tuseme, wakitaka kumaliza tatizo la hao watu, wawaondoe hapo wote, kwa kuwau!
. Kuwahamisha pekee haitoshi kumaliza tatizo; tofauti ya hapo, ni kutafuta njia ya kukubali kuishi kwa heshima kwa kila upande.

Kuishi kwa heshima kwa kila upande ndiyo ilipo suluhu na inawezekana.

Kinyume cha hapo ni kama haya haya ya CCM na sisi hapa.

Kimenuka na Mossad alivyo nguli huko sembuse hawa wa pande za kwetu buza huku?
 
hawa hakuna kitu watafanya,
tena wawe tu makini na kauli zao,
coz wakiswekwa ndani tena sidhani kama kutakua na kundi lenye habari nao
 
Kuna kauli,
"Hatuangalii rangi ya paka bali uwezo wa kukamata panya".

Kila la heri wapambanaji.

Kwa hakika umenena mahsusi mno Kwa wenye wivu. Akiuita spika mmoja kuwa ni wa jinsia fulani.
 
hawa hakuna kitu watafanya,
tena wawe tu makini na kauli zao,
coz wakiswekwa ndani tena sidhani kama kutakua na kundi lenye habari nao

Kwani wewe ni nabii kuyanena ya kesho kama Tito? Au wewe hutaki katiba mpya au unataka bandari kuuzwa? Kulikoni dua mbaya hizo kwa waja wake Mola waliojitoa swadaka?
 
Kwani wewe ni nabii kuyanena ya kesho kama Tito? Au wewe hutaki katiba mpya au unataka bandari kuuzwa? Kulikoni Dua mbaya hizo Kwa waja wake Mola waliojitoa swadaka?
si hitaji chochote nachokipata chanitosha na familia yangu,
sitaki fujo wala ghasia za yeyeto,
ila ni tahadhari tu kwenye maigizo ya eti wanatetea wanyonge hali yakua wanasaka matonge
 
Tungepata watu wabishi kama 100 tu kama mdude, tungekuwa mbali sana.

Siyo wabishi ndugu, ni waliodhamiria. Watu hao ni wengi wa kumwaga. Kwani idadi ya wanachama kazi yake nini? Ya kuuzia sura?
 
si hitaji chochote nachokipata chanitosha na familia yangu,
sitaki fujo wala ghasia za yeyeto,
ila ni tahadhari tu kwenye maigizo ya eti wanatetea wanyonge hali yakua wanasaka matonge

Basi sisi tunataka haya:

1. Katiba Mpya Sasa.
2. Uchaguzi kama katiba mpya ipo.
3. Bandari kuondolewa sokoni.

Hayo ni haki yetu wala si fujo kuyahitaji.

Kwa vile wewe hayakuhusu, Moro wanasema: "karakabaho" yaani kaa hapo hapo. Tena Kwa kutulia tuli!

Hii ngoma si yako. Tuachie wenyewe tuicheze.
 
Kalamu Kuna mtu anayeweza kulitatua hili tatizo??
Hili swali lako linaendelea kusumbua akili.

Hebu nijaribu kulichangia kwa namna nyingine:

Chukulia mfano wa Germany na Japan, baada ya vita vya Dunia vya Pili.
Marekani hadi leo anao askari wake katika nchi hizo, na kwingineko, kama Korea Kusini; pamoja na kwamba haitambuliki kuwa nchi hizo zimekaliwa kwa mabavu.

Je, 'approach' ya namna hii inawezekana kufanyika katika eneo hili Mashariki ya Kati? Si lazima iwe Mmarekani awe mhusika moja kwa moja...,; lakini je, hii inaweza kuwa 'model' inayoweza kutumika katika swala hili?
 
fu
Basi sisi tunataka haya:

1. Katiba Mpya Sasa.
2. Uchaguzi kama katiba mpya ipo.
3. Bandari kuondolewa sokoni.

Hayo ni haki yetu wala si fujo kuyahitaji.

Kwa vile wewe hayakuhusu, Moro wanasema: "karakabaho" yaani kaa hapo hapo. Tena Kwa kutulia tuli!

Hii ngoma si yako. Tuachie wenyewe tuicheze.
fujo zenu na uvivu wenu pelekeni huko......

Natoa rai kwa Jeshi la polisi kuzuia fujo zenu kikamilifu zinazoathiri bidii zetu maeneo yetu ya kujtafutia riziki.

Jitu kubwa na familia yake linalilia mambo ya ambayo ni dhahiri hayafui dafu, badala ya kufanya bidii kuilisha na kuifurahisha familia na ukoo wake.
 
Back
Top Bottom