monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo hujui,Acha kujibaraguza [emoji1787][emoji1787]
Huujui wimbo wa kuwaimbia mizimu ile ikatoka nje na kuishika njia usemayo.....
Kwa hiyo watawaua wote, au itakuwaje; maanake sioni ushindi bila kuwamaliza hao watu wote wanaokandamizwa.Marekani anapeleka Misaada ya kila aina Israel
Palestine wametengwa na waarabu wenzao
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ndo hujui,
Tawala zote ziko chini ya mwanakondoo!!
Mapinduzi ni sasa.
SYWtz one!
Mapinduzi ni sasa.
SYWtz one!
Aende wapi ?!!Mbeya tumekomaa kinoma... Bandari ingekua ipo mbeya huyu Mama yenu angeshaondoka
Si yake...Nikurebishe hapo
Wapi tumesema tunataka mapinduzi?
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Tunawajua vyema kuliko mnavyodhani.
Agenda ziko wazi:
1. Katiba mpya ni Sasa.
2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
3. Bandari haziko sokoni
Ya mapinduzi ni ya kwako ndugu!
Aaaa wapi.Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.
Kulikoni?
1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.
"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:
View attachment 2775874
Mungu atupe nini?
Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:
View attachment 2775877
Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.
"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."
Tuonane Tahrir.
Rest in Peace Tanzanian HeroEh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."View attachment 2776019
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuone hapo Gaza ni makazi ya Wapalestina milioni 2.3Kwa hiyo watawaua wote, au itakuwaje; maanake sioni ushindi bila kuwamaliza hao watu wote wanaokandamizwa.
Hakuna silaha yoyote inayoweza kumaliza ugomvi wa namna hiyo.
Rest in Peace Tanzanian Hero
Ngoja tuone hapo Gaza ni makazi ya Wapalestina milioni 2.3
Si yake...
Ni yako/yenu.....
TAHRIR ni kipenzi cha mapinduzi [emoji1787][emoji1787]
Basi tuseme, wakitaka kumaliza tatizo la hao watu, wawaondoe hapo wote, kwa kuwau!Ngoja tuone hapo Gaza ni makazi ya Wapalestina milioni 2.3
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
![]()
Tunawajua vyema kuliko mnavyodhani.
Agenda ziko wazi:
1. Katiba mpya ni Sasa.
2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
3. Bandari haziko sokoni
mapinduzi ni sasa.
Sijui usahihi wa hili, hasa hizo sura hapo kwenye hiyo picha, lakini inashawishi kidogo.Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
![]()
Tunawajua vyema kuliko mnavyodhani.
Agenda ziko wazi:
1. Katiba mpya ni Sasa.
2. Hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi.
3. Bandari haziko sokoni
mapinduzi ni sasa.