Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Mwabukusi na wenziwe warejea Mbeya kwa Kishindo

Chadema imegeuka kuwa wakala wa CCM!
Aibu ya karne hiyo..
 
Polisi wame fabricate stori ati CHADEMA imelalamikia nyimbo zake kupigwa nyimbo zake kwenye Mkutano wa S.W

Kwamba?



Kistaarabu Chadema wanapaswa wakanushe au kukanusha kizingatiwa vyama hivi havina hati miliki ya mtu.

Ama Kwa hakika hii nchi ngumu kweli kweli.

Cc: Rabbon, Extrovert
 
Hii habari inatafakarisha sana. Kwa ndani kabisa imejawa mashindano.

Ni kawaida kwa ma CCM na vibaraka wao kukaa upande mwingine wa wananchi wakiona safari yetu Tahrir kuliko mwisho wa matatizo inanukia:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Wao hupendelea hIzi:

1. Kanuni za mashirikiano
2. Uratibu wa safari Tahrir
3. Maandalizi ya kisayansi

"Na longo longo za namna hiyo."

Hadithi tena? Maneno matupu hayavunji mfupa. Maneno yametosha.

Tulipo Mwanukusi ni kusema "su!" Twende kazi.

"Unataka katiba mpya, hutaki biashara ya bandari?"

Tukutane Tahrir.
 
fu
fujo zenu na uvivu wenu pelekeni huko......

Natoa rai kwa Jeshi la polisi kuzuia fujo zenu kikamilifu zinazoathiri bidii zetu maeneo yetu ya kujtafutia riziki.

Jitu kubwa na familia yake linalilia mambo ya ambayo ni dhahiri hayafui dafu, badala ya kufanya bidii kuilisha na kuifurahisha familia na ukoo wake.

Hizo siyo fujo ndugu. Hizo ndiyo zile lugha ambazo ma CCM na vibaraka wao huzisikia na kuzielewa vyema.

Waongea je kiswahili na Putin, Natenyahu au Macron ukitegemea akuelewe?
 
Tulieni.Acha migagasiko yenye miweweseko.Mnamremba marehemu kwa kumvalisha moccasins?Atatembelea wapi?

Kumbe pilipili msizozila kulikoni kuwawasha? Mwalia kuliko wafiwa? Kama si machozi ya mamba ni nini?

Jaribuni kwingine huku tereni lishang'oa nanga!
 
Kumbe pilipili msizozila kulikoni kuwawasha? Mwalia kuliko wafiwa? Kama si machozi ya mamba ni nini?

Jaribuni kwingine huku tereni lishang'oa nanga!
Mchunge kama breki zipo.Msipige kelele/mwano/mayowe tu hukohuko mbeleni.
 
Hizo siyo fujo ndugu. Hizo ndiyo zile lugha ambazo ma CCM na vibaraka wao huzisikia na kuzielewa vyema.

Waongea je kiswahili na Putin, Natenyahu au Macron ukitegemea akuelewe?
ni fujo,
nafanya shughuli zangu za kujipatia kipato kwa bidii manapita na Maandamano ya fujo mnanivuruga na kuniibia, nahasira na nyinyi.......

Baba mtu mzima kama wewe umeondoka nyumbani mzima wa afya wa motrooo umeacha mke na watoto wakijua baba aenda tafuta chochote kitu,

unarudishwa nyumbani umepoa,
au na mingeu ya uso ya kutosha, huku kiuno na miguu ikiwa moja haikai mbili ndio haipatikani kabisa.
inabidi waanze kusikiliza wimbo wa Dunia haina huruma ya Bukuku

Ongeza bidii kwenye kazi zako acha kulazimisha majonzi, hali ngumu na vilio kwenye familia yako ndugu jamaa na marafiki zako. Lakini pia kulazimisha ulemavu wako mwenyewe, tafuta kazi ya kufanya
 
Haya maneno umeyatunga mwenyewe, au vipi?

"Israel isiruhusiwe kujilinda", ikiwa na maana kujilinda kwa Israel ni kuwaua waPalestina?

Na hawa waPalestina wao hawatakiwi "kujilinda"?

Kwani tatizo ni nini. Nani anaruhusa ya kujilinda dhidi ya mwingine, na kwa sababu zipi?

Hao walioanzisha hilo tatizo ndio wana wajibu wa kulitatua.
cc: Balozi wa Palestine UN
 
Waliomjenga na kumpa kiburi Israel na kumfanya sasa awe nje ya uwezo wao wana wajibu wa kujaribu kumkumbusha Israel umuhimu wa kutambua kuwa usalama wake ni kutafuta njia za kuishi kwa amani na jirani zake na kuheshimiana nao. Itambulike wazi kwamba kila mmoja wao anayo haki ya kuishi kwa amnai kwa kuheshimiana.

Hali ya wapalestina ya kunyang'anywa hata hicho kidogo kilichobaki, na kuwa wakimbizi bila kuwa na mahali wanapoweza kupaita kwao, hilo ni tatizo lisiloweza kufumbuliwa kwa nguvu za silaha.

Kwa hiyo, hao wakubwa waliolianzisha hapo, wana wajibu wa kulitafutia ufumbuzi wa haki katika kila kundi kwa kadri iwezekanavyo.
Wasiukwepe wajibu wao huo.
Huyo HAMAS ni Muanzisha Ugomvi tu. Nyuma yake yupo HIZBOLLAH ambaye kwake bila vita haoni maisha. Wachambuzi wa masuala ya kivita wamesema ameanza kupiga jaramba. Hiyo vita wakubwa wasipokuwa makini itaenea mashariki ya kati nzima na kuunga kule Ukraine. Tuombe Mungu sana wamalize kwa njia ya mazungumzo, vita sio kitu kizuri kabisa. Wanaoumuia ni watoto na vikongwe.
 
We need this courage as a nation.

Hongera Kwa manabii wetu.

"Jitihada halali za wazi hizi zinastahili kuungwa mkono na kila mtanzania na hasa aliye mzalendo." -- JKN.
 
Back
Top Bottom