Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Hizi siasa itafika 2025 wataanza kupitisha magreda ya kutuhadaa na akili ndio itawakaa sawa kuwa marehemu hayupo na sisi tuliopo ndio wa kuwajibika kujenga nchi.
 
We
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
We nawe unaandikaga upupu tu. Hitler anajadiliwa hadi leo ndo awe huyo mungu wenu wa chato
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Acha upuuzi wewe,umseme akiwa hai Ili uuawe? Wapi Mwendazake alitoa fursa ya kumsema?

Atanyiishwa huko huko aliko,akigeuka nchale akikohoa Kabali.

Atavuna alichopanda na Wana wake watabeba maovu ya baba Yao ndio maandiko hayo Wana wanapatilixwa uovu wa baba Yao.
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Hakuna mtu anaweza kupumzika motoni
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Ndo ulitumwa mkauwe Ben sanane, na aliyewatuma Kesha kufa Bado zamu yako. Malipizi ni hapahapa Duniani, huwezi kwepa mshale wa Mungu
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani

Magufuli alikuwa nani hadi utishie ukweli wake usisemwe. Watu walipotaka kumsema alitumia madaraka yake kuwazuia, sasa ngoja ukweli wake uwekwe hadharani. Umoja wa kitaifa uvunjike kuliko yeye alipokuwa madarakani? Jitahidi kuvumilia ukweli.
 
Lisu anataka WASIOJULIKANA wajulikane.

Na ndo kwanza anasema akiwa njiani kuelekea IKUNGI, angependa apite Police Dodoma Ili aone matundu ya risasi ktk gari yake ya tukio.

Ikitokea Wasiojulikana wakajulikana, hao Si wenyewe, ikiwa walohusika ni WASIOJULIKANA Kweli, basi kamwe hawatojulikana.

Anajua fika AJALI ya MTITIKILA, Ulimbokua, Sokukoine, Karumereme nk hawakuwahi julikana.

CDM na CCM wako ktk meza ya maridhiano, yanini kufukua makaburi wakati ajua ndani ya makaburi hayo hatokuta hata mifupa sababu ZOMBIES hawaachagi hata ukucha?

Lisu aseme tu NIMESAMEHE, namwachia MUNGU.

Wananchi tuliofunga na kumwombea na Mungu AKAMFUFUA,wanapenda tusameheane na tuishi Kwa AMANI.

KATIBA mpya ndo pekee itakayowapoteza WASIOJULIKANA wasipande tena huku kuleta madhara.

Wazee wa CDM wakae na LISSU wamkumbushe kuwa Yeye ni kiongozi kwanza ndipo uanasheria unafuata.

Msomapo comment hii jua wananchi tunapenda Ustawi wa Nchi.

Waliotoa MAPANGA wayarudishe ALANI Ili tukae Kwa AMANI.

Aaamen.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
KUPUMZIKA HAWEZI KWA ALIYOYAFANYA ANGEKUWA ANATAKA AKIFA APUMZIKE ASINGEWAFANYIA WATU MAMBO YANAYOSABABISHA ASEMWE waacheni watu watoe VINYONGO vyao
 
Kila mtu ana uhuru wa maoni katika nchi hii ni vema tuheshimu maoni ya watu na kuzingatia sheria za nchi yetu.

Wanao msema hayati JPM kwa wema wake na kwa mabaya yake wote wako sawa,huwezi fanya maoni yako binafsi kuwa maoni ya umma kana kwamba binadamu wote tuna usawa katika fikra zetu hapana.

"Kuwa na fikra yakinifu lazima uwe na afya ya akili'
 
Umeanzisha Thread Ili Mzilankende Asemwe
Tulia Hivyo Hivyo Watu Watoe Ya Moyoni

Siku Nyingine Acha Kuanzisha Mambo Yaliyopita, Ili Jiwe, Chuma, Ngosha Asisemwe
 
Uovu na waovu, hawaachwi kusemwa milele. Hitler bado anaishi? Stallin bado anaishi? Id Amin bafo anaishi? Je, hawasemwi?

Ukiwazuia watu kusema ukiwa hai kwa sababu una madaraka ya kuamrisha maharamia yaliyopo kwenye vyombo vya ulimzi na usalama kuwaua au kuwazima watu wasiseme uovu wako, au kukukosoa chochote, maana yake unawaambia wakuseme au ukiwa nje ya madaraka au ukiwa umekufa.

Dikteta marehemu aliwaziba midomo kwa utawala wa mkono wa chuma, hakuna ambaye angemsema au kumkosoa halafu akawa na uhakika wa kubakia salama. Sahizi wanapokuwa huru, ni lazima wamseme, na ni haki yao.

Lakini pia ni jambo jema kuusema uovu tena na tena ili iwe funzo kwa walio hai. Na ndiyo sababu tunaenda kwenye nyumva za kuabudu kila wiki, na wengine kila siku, na nyakati zote hizo, shetani anaendelea kusemwa, na maovu yanaendelea kusemwa na kukemewa.
Anayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri. Uovu huu lazima usemwe wote ili kurithisha vizazi vijavyo historia hii muhimu na kupunguza uwezekano wa kosa hili kurudiwa tena.
 
Back
Top Bottom