Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanye tukuone. Kama hiyo puru haujaiacha palepale kaburini. Ndezi weweHata kama kafa, hatumuachii, tutaenda knya kwenye kaburi lake, na walivyojua wakajengea nyumba kaburi
'Mtu wa aina hii', 'mwovu', 'uovu' blah blah! Uovu wa Magufuli ni upi? Taja tusikieAnayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri. Uovu huu lazima usemwe wote ili kurithisha vizazi vijavyo historia hii muhimu na kupunguza uwezekano wa kosa hili kurudiwa tena.
Uko sahihi waliotumwa ndio wawekwe hadharani kisha washitakiwe kwa kutii na kutekeleza amri isiyo halali kama wanavyomfanyia Lengai Ole Sabaya huku wakifanya sherehe kujipongeza kwa visasi wanavyofanya.Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?
Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.
Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.
Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.
Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.
Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.
Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?
Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona
Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli
Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.
Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?
Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli
Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...
Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.
Mama mkanye mwanao jamani
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?
Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.
Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.
Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.
Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.
Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.
Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?
Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona
Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli
Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.
Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?
Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli
Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...
Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.
Mama mkanye mwanao jamani
Hujafa hujaumbika!!!Lissu kiwete mtake mistake ni kiwete, kabaki anajinyea choo Cha kuchuchumaa hakiwezi sasa hivi huyo bwege wenu
Acha utaahira na kujitoa ufahamu, maoni unatoyaona humu hawa ni raia wa TZ na hii ndiyo random sampling ya uhalisia wa maoni ya Watanzania juu ya yule muuaji wa Kihutu wa Chato.Ukisoma comments za watu,unaweza dhani magufuli anachukiwa na watanzania.
Chuki dhidi ya JPM ni humu tu JF .Na humu ni kikundi Cha Watu Fulani wenye akaunti tatu tatu,wanaoshiriki kutoa shiti.
ila huwezi kusema vibaya publicly,IPO Siku mtu atapigwa jiwe Kwa kumsema Marehemu.
Exactly my thoughts.Sahihi kabisa, na kwa sasa huko CCM mwenye tabia kama za Magufuli ni Mwigulu Nchemba. Huyu akipewa madaraka atakuwa mchafu kama Magufuli, ama hata zaidi ya Magufuli.
Aliminya haki za watumishi wa umma& kuwadhihaki kana kwamba pesa ni zake..nilikwazika ktk hili.Yeye amekufa haya semeni walio husika kazi imalizike maana hakushika silaha kwenda tekeleza ukatili na hao walio shika silaha waleteni tuache siasa maji taka
Shujaa kalala ila bado anaishiHakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?
Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.
Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.
Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.
Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.
Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.
Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?
Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona
Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli
Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.
Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?
Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli
Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...
Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.
Mama mkanye mwanao jamani
Mifupa(skeleton) yake ndiyo inaishi futi sita chini ya ardhi.Shujaa kalala ila bado anaishi
Asingekuwa anaishi msingepambana naye, hakuna mtu anayepigana na maiti hata awe kichaaMifupa(skeleton) yake ndiyo inaishi futi sita chini ya ardhi.
Amepumzika kwenye Roho ya jamuhuri nn kwangu au kwako...Mwite apumzikie nyumbani kwako!