Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Labda tu niwe muwazi marehemu hakuwa mtu mwema kabisa hata kama kuna wakati aliigiza wema

Ninachomshukuru marehemu ni kukubali kufia nyumbani ili kuokoa gharama za mochwari & msiba au Mshana Jr unasemaje pamoja na kaka pascall mayalla
 
Anayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri. Uovu huu lazima usemwe wote ili kurithisha vizazi vijavyo historia hii muhimu na kupunguza uwezekano wa kosa hili kurudiwa tena.
'Mtu wa aina hii', 'mwovu', 'uovu' blah blah! Uovu wa Magufuli ni upi? Taja tusikie
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Uko sahihi waliotumwa ndio wawekwe hadharani kisha washitakiwe kwa kutii na kutekeleza amri isiyo halali kama wanavyomfanyia Lengai Ole Sabaya huku wakifanya sherehe kujipongeza kwa visasi wanavyofanya.
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani

Nenda kapumzike naye
 
Ukisoma comments za watu,unaweza dhani magufuli anachukiwa na watanzania.

Chuki dhidi ya JPM ni humu tu JF .Na humu ni kikundi Cha Watu Fulani wenye akaunti tatu tatu,wanaoshiriki kutoa shiti.
ila huwezi kusema vibaya publicly,IPO Siku mtu atapigwa jiwe Kwa kumsema Marehemu.
Acha utaahira na kujitoa ufahamu, maoni unatoyaona humu hawa ni raia wa TZ na hii ndiyo random sampling ya uhalisia wa maoni ya Watanzania juu ya yule muuaji wa Kihutu wa Chato.
Hawa pia wanaishi mitaani na haya ndiyo maoni yao.
 
Sahihi kabisa, na kwa sasa huko CCM mwenye tabia kama za Magufuli ni Mwigulu Nchemba. Huyu akipewa madaraka atakuwa mchafu kama Magufuli, ama hata zaidi ya Magufuli.
Exactly my thoughts.
Screenshot_20230227-051450.jpg
IMG_20230227_061359.jpg
 
Yeye amekufa haya semeni walio husika kazi imalizike maana hakushika silaha kwenda tekeleza ukatili na hao walio shika silaha waleteni tuache siasa maji taka
Aliminya haki za watumishi wa umma& kuwadhihaki kana kwamba pesa ni zake..nilikwazika ktk hili.
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Shujaa kalala ila bado anaishi
 
Kuna watu wanatafuta umaarufu kupitia jina La Magufuli.hakika wataporomoshwa
 
Back
Top Bottom