Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Anayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri.
Waliomfikisha kwenye hiyo nafasi pia wanastahili lawama
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Mkuu
Piga kimya kwa sababu ni busara kukaa kimya.

Wsnaomtukana na kumsimanga ni wenye akili hivyo ipo siku atajibu hizo tuhuma. Hawsmtuhumu bure. Wanamtuhumu kwa sababu wanataka majibu kutoka kwake. Anapaswa kujibu maana wenye akili wanatuaminisha kuwa anao uwezo wa kujibu ndo maana hawaachi kumsonta kidole ili ajibu.

Wasio na akili ndo wanaamini kafa na hawezi kujibu.

Piga kimya, sikilizia atajibu tuhuma dhidi yake soonest
 
Kanuni ya msamaha, ni lazima aliyefanya kosa aombe msamaha.
Aende pale makaburi ya chato akasubiri kuombwa msamaha na marehemu.

Viongozi wamechanganyikiwa, Badala ya kuunganisha na kuleta UMOJA kitaifa,wao ni mipasho tu isokuwa na maana.
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
downloadfile-4(1).jpg
 
Lazima usemwe kwa matendo yako uliyoyafanya enzi za uhai wako
 
Binadamu sio mtoa hukumu , utashangaa Magufuli yupo zake mbinguni anakunywa divai mkono wa kuume wa mungu baba

Nyenye huku ni kuropoka ropoka tu
 
Unasema akapumzike, nani amekuambia huko kuna kulala wala kupumzika?
Mwenyewe nimtu wa kazi alishasema atafanya kazi za malaika
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
|Nyoko ninakutukana kaniletee ndugu yangu aliyepotezwa haraka! Mfufue mjomba angu aliyepata stroke kwa kukuta bil 1 haipo benki pesa pekee aliyokuwa nayo! Kawalete watu waliookotwa fukweni kwenye viroba vya magunia.
Rubbish rubbish asemwe atukanwe yeye ni jinamizi baya kuliko Idd Amin aliyekula nyama za watu! Kuliko bokasa aliyeua wanafunzi wazi wazi.
LIle ni Jini! LIlaaaniwe zaidi huko liliko!
 
At least anapumua Mkuu.
Ila anaupata moto sasa hivi kichaa serikali ni serikali tatizo Magufuli alivaa uchief na mdomo mwingi, makelele mingi, he never lived diplomacy in statehouse, he had to go by anyhow.
 
haijalishi; amelala! anateseka! anaweweseka!
Acheni marehemu asemwe kwa mabaya au uzuri wake aliofanya duniani!

Anasemwa Bwana Yesu Kristo na Mohamadi sembuse mwendazake!
 
|Nyoko ninakutukana kaniletee ndugu yangu aliyepotezwa haraka! Mfufue mjomba angu aliyepata stroke kwa kukuta bil 1 haipo benki pesa pekee aliyokuwa nayo! Kawalete watu waliookotwa fukweni kwenye viroba vya magunia.
Rubbish rubbish asemwe atukanwe yeye ni jinamizi baya kuliko Idd Amin aliyekula nyama za watu! Kuliko bokasa aliyeua wanafunzi wazi wazi.
LIle ni Jini! LIlaaaniwe zaidi huko liliko!
Alishindwa kuelezea alizipata wapi!

Mafisadi nyinyi dawa yenu ni hiyo tu hamna namna nyingine
 
Tatizo ni wingi wa mafisadi, wakipungua na wanaomsema JPM watapungua. Hakuna mtu mwenye kipato cha kati anaemsema vibaya JPM, kama yupo basi anakula makombo ya mafisadi.
 
Kama kuna watu aliwafanyia vibaya wacha wamseme na wacha wamseme vibaya,ila sisi hatutoacha kumsemea vizuri kuwa ni kiongoz shujaa alijaribu kwa makusudi yake kuibadilisha Tanzania kutoka kwenye mfumo wa ushikaji na ulafi wa mali za umma na kuwa kwenye mfumo wa kuheshimiana.
JPM ataendelea kuwa kiongoz aliyetuonyesha kwamba hii nchi wezi ni wengi na ukiwagusa wanakuwekea visa maisha yako yote,Wanataka wale wao tu na family zao huku wakiacha walipa kodi wakihaha na ugumu wa maisha.
Hakuna Rais atakuja tokea au aliyewai kutokea kupambana na wezi wa mali za umma wazi wazi huku akitumia kauli yake ya kutumbua Majipu.
MAJIPU SASA MMEANZA TENA KUSAMBAA,HAKUNA WA KUWATUMBUA MNANENEPEANA TU NA KUSABABISHA MATATIZO KWA WANAMCHI WA KHALI YA CHINI.
 
Alishindwa kuelezea alizipata wapi!

Mafisadi nyinyi dawa yenu ni hiyo tu hamna namna nyingine
Kwani huyu jambazi alikuwa anauliza? Alikuwa anavizia kwa kuchungulia kwenye account za watu! Akiona huko fungu nono anakenua mimeno kama kenge wa ziwa victoria! Anakomba tu! Nasema hivi liffeeeeeee tena na tena. Sukuma gang marufuku kukanyaga katika ofisi za mamlaka washamba wakubwa hawa!
 
Kwani huyu jambazi alikuwa anauliza? Alikuwa anavizia kwa kuchungulia kwenye account za watu! Akiona huko fungu nono anakenua mimeno kama kenge wa ziwa victoria! Anakomba tu! Nasema hivi liffeeeeeee tena na tena. Sukuma gang marufuku kukanyaga katika ofisi za mamlaka washamba wakubwa hawa!
Sukuma gang ukiwaona unaweza kuwatambua?

Wewe ni kenge wa bwawa gani vile?
 
Back
Top Bottom