Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Mwacheni Hayati Magufuli apumzike narudia tena mwacheni apumzike

Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Wewe si enzi za jiwe ukawa unajifanya usiyejulikana?, Wewe haukumtisha ben saanane wewe?,
Watu watauana kwa lipi?,
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Wewe kama nani?
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani

Kwa makasiriko haya karibuni tuwafahamu waliotokomea na Ben kusikojulikana
 
Lisu anataka WASIOJULIKANA wajulikane.

Na ndo kwanza anasema akiwa njiani kuelekea IKUNGI, angependa apite Police Dodoma Ili aone matundu ya risasi ktk gari yake ya tukio.

Ikitokea Wasiojulikana wakajulikana, hao Si wenyewe, ikiwa walohusika ni WASIOJULIKANA Kweli, basi kamwe hawatojulikana.

Anajua fika AJALI ya MTITIKILA, Ulimbokua, Sokukoine, Karumereme nk hawakuwahi julikana.

CDM na CCM wako ktk meza ya maridhiano, yanini kufukua makaburi wakati ajua ndani ya makaburi hayo hatokuta hata mifupa sababu ZOMBIES hawaachagi hata ukucha?

Lisu aseme tu NIMESAMEHE, namwachia MUNGU.

Wananchi tuliofunga na kumwombea na Mungu AKAMFUFUA,wanapenda tusameheane na tuishi Kwa AMANI.

KATIBA mpya ndo pekee itakayowapoteza WASIOJULIKANA wasipande tena huku kuleta madhara.

Wazee wa CDM wakae na LISSU wamkumbushe kuwa Yeye ni kiongozi kwanza ndipo uanasheria unafuata.

Msomapo comment hii jua wananchi tunapenda Ustawi wa Nchi.

Waliotoa MAPANGA wayarudishe ALANI Ili tukae Kwa AMANI.

Aaamen.
Kanuni ya msamaha, ni lazima aliyefanya kosa aombe msamaha.
 
JPM ni Chuma! Hakutakaga maujinga!

Kila nafsi itaonja mauti!
Shetani ndivyo hupenda kuwapofusha wanadamu ili awatumie vizuri mwenye unaoshindwa kuzuia hata kisu kupenya, eti ni chuma au jiwe!!
 
Ukisoma comments za watu,unaweza dhani magufuli anachukiwa na watanzania.

Chuki dhidi ya JPM ni humu tu JF .Na humu ni kikundi Cha Watu Fulani wenye akaunti tatu tatu,wanaoshiriki kutoa shiti.
ila huwezi kusema vibaya publicly,IPO Siku mtu atapigwa jiwe Kwa kumsema Marehemu.
 
Kila mtu ana uhuru wa maoni katika nchi hii ni vema tuheshimu maoni ya watu na kuzingatia sheria za nchi yetu.

Wanao msema hayati JPM kwa wema wake na kwa mabaya yake wote wako sawa,huwezi fanya maoni yako binafsi kuwa maoni ya umma kana kwamba binadamu wote tuna usawa katika fikra zetu hapana.

"Kuwa na fikra yakinifu lazima uwe na afya ya akili'
Umenena vema.

Kuna watu, jambazi lililoshindikana kukamatwa, linafanya uovu wa kila aina, linau, linaiba, kwao huyo ni shujaa na jemedari. Lakini kwa wengine, ni shetani. Sasa kuwalazimisha wanaomwona jambazi ni shetani, eti nao wamwone ni shujaa, haitawezekana kamwe.
 
Ukisoma comments za watu,unaweza dhani magufuli anachukiwa na watanzania.

Chuki dhidi ya JPM ni humu tu JF .Na humu ni kikundi Cha Watu Fulani wenye akaunti tatu tatu,wanaoshiriki kutoa shiti.
ila huwezi kusema vibaya publicly,IPO Siku mtu atapigwa jiwe Kwa kumsema Marehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] account tatu tatu
wasije kuropoka huku uraiani wasijutie kitakachowajiria
 
Anayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri. Uovu huu lazima usemwe wote ili kurithisha vizazi vijavyo historia hii muhimu na kupunguza uwezekano wa kosa hili kurudiwa tena.
Tena umeeleza jambo muhimu sana. Itabidi ufike wakati tujihoji sana kama Taifa, ilikuwakuwaje hadi mtu wa namna ile anapenya mpaka kushika madaraka ya juu kabisa. Na tufanye nini jambo kama hilo lisitokee tena. Bila kupata majibu ya maswali hii, tufahamu kuwa nchi itakuwa bado ipo kwenye hatari kubwa ya siku moja mtu wa namna ile ile au hata mbaya zaidi, kuja kuchukua madaraka ya nchi.
 
Uovu na waovu, hawaachwi kusemwa milele. Hitler bado anaishi? Stallin bado anaishi? Id Amin bafo anaishi? Je, hawasemwi?

Ukiwazuia watu kusema ukiwa hai kwa sababu una madaraka ya kuamrisha maharamia yaliyopo kwenye vyombo vya ulimzi na usalama kuwaua au kuwazima watu wasiseme uovu wako, au kukukosoa chochote, maana yake unawaambia wakuseme au ukiwa nje ya madaraka au ukiwa umekufa.

Dikteta marehemu aliwaziba midomo kwa utawala wa mkono wa chuma, hakuna ambaye angemsema au kumkosoa halafu akawa na uhakika wa kubakia salama. Sahizi wanapokuwa huru, ni lazima wamseme, na ni haki yao.

Lakini pia ni jambo jema kuusema uovu tena na tena ili iwe funzo kwa walio hai. Na ndiyo sababu tunaenda kwenye nyumva za kuabudu kila wiki, na wengine kila siku, na nyakati zote hizo, shetani anaendelea kusemwa, na maovu yanaendelea kusemwa na kukemewa.

Sahihi kabisa, na kwa sasa huko CCM mwenye tabia kama za Magufuli ni Mwigulu Nchemba. Huyu akipewa madaraka atakuwa mchafu kama Magufuli, ama hata zaidi ya Magufuli.
 
Umenena vema.

Kuna watu, jambazi lililoshindikana kukamatwa, linafanya uovu wa kila aina, linau, linaiba, kwao huyo ni shujaa na jemedari. Lakini kwa wengine, ni shetani. Sasa kuwalazimisha wanaomwona jambazi ni shetani, eti nao wamwone ni shujaa, haitawezekana kamwe.
Inshu ya kumkibali mtu kisiasa/kijamii, ni ya mtu binafsi kama ambavyo simkubali Lissu kivyovyote vile, ndivyo nawe usivyomkubali JPM
 
Hakuna namna unaweza kumtetea yule dikteta, hakuna! Watu wengi waliteswa. Kupotea na kuuwawa. Unataka kuwaambia watu wamwache muuaji apumzike?! Apumzike wapi!? Watu wamenyang’anywa mabilioni yao na hawajarudishiwa na wengine wamekufa kwa presha na watoto wao wanateseka, unataka kutuambia nini wewe, tumwache apumzike?! Apumzike wakati amewaachia watu Majanga?! Wewe unaishi dunia gani ama uneshibishwa kwa dhuluma alizofanya kupitia chawa wake? Sasa ndio kwanza dhambi za huyu bwana tunaanza kuziweka hadharani ili kila mtu ajue na haki itendeke hata huko ahera!
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
 
Kwanza mleta mada usitupangie. Pili shetani kama Magufuli ni wa kukemea siku zote.
Sukuma gang mashetani wa Gambosh
 
Uovu na waovu, hawaachwi kusemwa milele. Hitler bado anaishi? Stallin bado anaishi? Id Amin bafo anaishi? Je, hawasemwi?

Ukiwazuia watu kusema ukiwa hai kwa sababu una madaraka ya kuamrisha maharamia yaliyopo kwenye vyombo vya ulimzi na usalama kuwaua au kuwazima watu wasiseme uovu wako, au kukukosoa chochote, maana yake unawaambia wakuseme au ukiwa nje ya madaraka au ukiwa umekufa.

Dikteta marehemu aliwaziba midomo kwa utawala wa mkono wa chuma, hakuna ambaye angemsema au kumkosoa halafu akawa na uhakika wa kubakia salama. Sahizi wanapokuwa huru, ni lazima wamseme, na ni haki yao.

Lakini pia ni jambo jema kuusema uovu tena na tena ili iwe funzo kwa walio hai. Na ndiyo sababu tunaenda kwenye nyumva za kuabudu kila wiki, na wengine kila siku, na nyakati zote hizo, shetani anaendelea kusemwa, na maovu yanaendelea kusemwa na kukemewa.
Chawa KAZINI!
Wapi umeona Taifa likigawanyika vipande??
Je umejiuliza hao wanaojinasibu wabunge na Mawaziri endapo hapo walipo walipata ridhaa ya wananchi?
Je wanawatetea wananchi kiuhalisia? Ndio walewale baadhi yao walikuwa wakimwita Mungu!
COVID 19 walioko pale bungeni waliingiaje hapo?!
Haya yote yanayoendelea ni walewale waliokuwa Naye! Usimsingizie LISSU bure!
Nani alimfanyizia LISSU yake madhila? Awe alitumwa/kuagizwa waje watoke mbele ya kadamnasi watubu!!
 
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.

Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.

Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?

Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.

Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.

Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.

Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.

Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.

Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?

Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona

Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli

Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.

Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?

Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli

Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...

Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.

Mama mkanye mwanao jamani
Kaburini hakujawahi kuwa chumba cha mapumziko , hii ni kwa mujibu wa Shehe Mazinge
 
Mbona Nyerere anatajwa Kila siku na hujawahi kusema tumwache apumzike,Kuna hata siku zake ya kumsema au kumtaja mambo yake,Kuna Nyerere day na siku ya kigoda Cha mwalimu.
Kila mtu atasemwa kwa aliyoyatenda.
Kwa Niniagufuli TU ndio aachwe apumzike?
Na kwa Nini isiwe mwalimu?
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
downloadfile-4(1).jpg
 
Back
Top Bottom