Waliomfikisha kwenye hiyo nafasi pia wanastahili lawamaAnayesemwa siyo marehemu tu bali na mfumo uliowezesha mtu wa aina hii kushika nafasi ya juu kabisa katika nchi licha ya hulka yake kufahamika vizuri.
MkuuHakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?
Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.
Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.
Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.
Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.
Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.
Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?
Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona
Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli
Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.
Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?
Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli
Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...
Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.
Mama mkanye mwanao jamani
Aende pale makaburi ya chato akasubiri kuombwa msamaha na marehemu.Kanuni ya msamaha, ni lazima aliyefanya kosa aombe msamaha.
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kiranja mkuu wa malaikaUnasema akapumzike, nani amekuambia huko kuna kulala wala kupumzika?
Mwenyewe nimtu wa kazi alishasema atafanya kazi za malaika
Sasa kiranja mkuu anaanzaje kupumzika?[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kiranja mkuu wa malaika
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
|Nyoko ninakutukana kaniletee ndugu yangu aliyepotezwa haraka! Mfufue mjomba angu aliyepata stroke kwa kukuta bil 1 haipo benki pesa pekee aliyokuwa nayo! Kawalete watu waliookotwa fukweni kwenye viroba vya magunia.Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni wamejaa akina nani? Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie vyama vya siasa hivi vinaudwa na nani ?
Kama alifanya kwa utashi wake mtuambie kwanini hakuna time huru ya uchaguzi.
Mwacheni alale mwacheni alale maana siku zinakuja huu mchezo manaucheza utakuwa mchezo wa hatari kwa Taifa.
Viongoz mmepewa nchi muongoze acheni kutumia njia ya kufanya character assassination kwa kupata huruma ya kisiasa.
Mtalitesa Taifa na mtaleta shida isio na maana.
Wazee wataifa hili nawakuu wa usalama kemeeni hii kitu mtafanya watu wauwane pasipo sababu za msingi. Hiki knachofanyika ni chuki na visasi. Watoto na familia ya Magufuli hawana Raha ktk Taifa lao baba yao hakujichaguwa kama walimchaguwa akaharibu mbona hawakusema akiwa hai hii sio sawa hata kidogo. Je Tuseme wanao mkashifu ndio walimuuwa? Maana msiwe na mihemko kwenye mambo yanatia ukakasi. Iwe waziri,mbunge au mwana nchi wakawaida anayeona sasa ndio muda wakukashifu marehem same hana ubinadam. Mwacheni alale. Maana hili lina endelea litararuwa umoja wakitaifa nakuligawa hili Taifa vipande vipande kwa ujinga na uchu wa madaraka na sifa za kijinga.
Kwanini mnamuandama nakumsema mambo mabaya while alikuwa akitekeleza mawazo na kazi ya wana idara? Je alishika silaha kwenda kuuwa? Je hao waliofanya hayo matukio kwanini wasiletwe tuwaone au serikali kwanini kama kweli wanataka kusema yeye ndie alie fanya hayo mbona hawakamati hao watu au hao watu wanasema wameambiwa ni order ya Hayati hawawataji walio tekeleza unyama huo why waseme mtu alie kufa?
Taifa lina njaa mnatudanganya Magufuli Mungu anawaona
Taifa watu wanahali mbaya mnatudanganya Magufuli
Miradi inasuwa suwa bado mnadanganya ni Magufuli Mungu anawaona.
Bei ya bidha imepanda pia ni Magufuli?
Ni Magufuli ni Magufuli majambaz wameanza tena pia mtasema Magufuli
Kupanda kwa Dola mtasinzia Magufuli...
Mh Tundu kama bado unahasira na Magu utakuwa unashida. He is no longer there either is true or false unafanya makosa makubwa sana yakiusalama na kisheria.
Mama mkanye mwanao jamani
At least anapumua Mkuu.Lissu kiwete mtake mistake ni kiwete, kabaki anajinyea choo Cha kuchuchumaa hakiwezi sasa hivi huyo bwege wenu
Ila anaupata moto sasa hivi kichaa serikali ni serikali tatizo Magufuli alivaa uchief na mdomo mwingi, makelele mingi, he never lived diplomacy in statehouse, he had to go by anyhow.At least anapumua Mkuu.
Alishindwa kuelezea alizipata wapi!|Nyoko ninakutukana kaniletee ndugu yangu aliyepotezwa haraka! Mfufue mjomba angu aliyepata stroke kwa kukuta bil 1 haipo benki pesa pekee aliyokuwa nayo! Kawalete watu waliookotwa fukweni kwenye viroba vya magunia.
Rubbish rubbish asemwe atukanwe yeye ni jinamizi baya kuliko Idd Amin aliyekula nyama za watu! Kuliko bokasa aliyeua wanafunzi wazi wazi.
LIle ni Jini! LIlaaaniwe zaidi huko liliko!
Muda wenu wa kulia ni huu blad sukuma gang! Mpaka mnyee!Alishindwa kuelezea alizipata wapi!
Mafisadi nyinyi dawa yenu ni hiyo tu hamna namna nyingine
Kwani huyu jambazi alikuwa anauliza? Alikuwa anavizia kwa kuchungulia kwenye account za watu! Akiona huko fungu nono anakenua mimeno kama kenge wa ziwa victoria! Anakomba tu! Nasema hivi liffeeeeeee tena na tena. Sukuma gang marufuku kukanyaga katika ofisi za mamlaka washamba wakubwa hawa!Alishindwa kuelezea alizipata wapi!
Mafisadi nyinyi dawa yenu ni hiyo tu hamna namna nyingine
Sukuma gang ukiwaona unaweza kuwatambua?Kwani huyu jambazi alikuwa anauliza? Alikuwa anavizia kwa kuchungulia kwenye account za watu! Akiona huko fungu nono anakenua mimeno kama kenge wa ziwa victoria! Anakomba tu! Nasema hivi liffeeeeeee tena na tena. Sukuma gang marufuku kukanyaga katika ofisi za mamlaka washamba wakubwa hawa!
Utakula kinyesi?Muda wenu wa kulia ni huu blad sukuma gang! Mpaka mnyee!