Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Yap ni sahihi, maana ndio ili kuwa part 1.Yeah, lakini sisi tuliona hii ya 1981 mwaka 1984 nafikiri. Nyumbani kwa rafiki yangu kwenye birthday party.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap ni sahihi, maana ndio ili kuwa part 1.Yeah, lakini sisi tuliona hii ya 1981 mwaka 1984 nafikiri. Nyumbani kwa rafiki yangu kwenye birthday party.
mbona kinyonge 😆😂Kabisa mkuu mimi ni baba
Jambo muhimu sanaNajivunia umri huu maana ni kwa neema tu,bado nina afya tele
Fathers are silent heroesAmina mbalikiwe sana msituchoke
Msipate hasira mkatupa laana
Mtuombee daima
Na mimi nilikuwepo miaka hiyo nilikuwa naishi morogoro stoo hapo shule nilisoma oysterbaySitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 pale Drive inn zilipo ofisi za Zantel,Msasani.
Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla ya filamu ulipigwa wimbo wa Thriller wa Michael Jackson
Kwa umri wangu mdogo chini ya miaka 10 yale mazombie sikukala usiku.
Drive in ndio ukumbi pekee ambao ungeweza kuangalia filamu ukiwandani ya gari,mimi niliogopanikaenda kujifungia kwenye gari.
Sasa hivi woga umenitoka ukijichanganya ninaweza kukuchinja koo
AMINAFathers are silent heroes
Hasha hata siku moja hatuwezi kutoa laana kwa watoto
Bali daima tunawaombea sana na mtukumbuke kwa mema tu pindi tutapoondoka katika dunia hii
😀😀😀 Nyie vijana mna matatizo mengi siku hizi😀😀yawezekana huku mtaani tunafahamiana na mnatuheshimu Sana ila sasa JF ndo hivyo hatujuani mnatushushia matusi tuAmina nakuombea Baba yangu
Mtusamehe sana sisi watoto wenu ambao hutakanana na ninyi humu ndani bila kujua
Tunaomba mtusamehe sana
Tusameane sana father😀😀😀 Nyie vijana mna matatizo mengi siku hizi😀😀yawezekana huku mtaani tunafahamiana na mnatuheshimu Sana ila sasa JF ndo hivyo hatujuani mnatushushia matusi tu
Shikamoo Mzee wangu,Yeah, lakini sisi tuliona hii ya 1981 mwaka 1984 nafikiri. Nyumbani kwa rafiki yangu kwenye birthday party.
Duuh wewe ni mzee, kwahy hata kipind cha Munich Massacre ulikuwa ushazaliwa?Kuna wazazi na wazazi kwa kweli, afadhali alikuwa anawafurahisha wanae
Mimi mzee aliniondoa huko miaka ya 70 nikiwa nimemaliza tu shule
Pia nawashukuru kila leo wazazi wangu kwa kufikia uamuzi huo
Kweli mkuu vijana wengi tuliondoka miaka hiyo ila mimi sikujificha kwenye meli bali niliondoka kwa visa
Kuna ndugu yangu alizamia kwa meli na mpaka leo yuko nchi tofauti na mimi
Tuombeane tu sana
HeheheheheheheheheheheheheheheheMimi nilivyoona video ya Zuchu antenna niliogopa sana nikashindwa kulala😃View attachment 3270683
1988 chini ya miaka 10 means upo kwenye 40s+Am single dad sina mke,sina mbele wala nyuma nikijitahidi ni kuwanunulia soda,
Sisi wenyewe kulikuwa na kundi linajiita Black September enzi hizo.Duuh wewe ni mzee, kwahy hata kipind cha Munich Massacre ulikuwa ushazaliwa?
Wewe ulikuwa hujazaliwa?Shikamoo Mzee wangu,
Mkuu mwaka 1984 unaangalia movie??
Na kuhudhuria birthday
Shikamoo Mzee Kiranga
Mwaka themann na nne mama yangu yupo latano.Wewe ulikuwa hujazaliwa?
1984 Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine anafariki mimi nasoma habari gazeti la Mfanyakazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kipindi hiko suruali mnavalia kifuani na Afro Kama Nchimbi wa CCm
😊 Ukumbuke kauli ya PM uende VETA Sasa ☺️Am single dad sina mke,sina mbele wala nyuma nikijitahidi ni kuwanunulia soda,