Mwaka 1988 siku ya kwanza kuonavideo ya wimbo Thriller wa Michael Jackson pale Drive inn sikulala usiku

Mwaka 1988 siku ya kwanza kuonavideo ya wimbo Thriller wa Michael Jackson pale Drive inn sikulala usiku

Fifa world cup ya 1986 iliyo fanyika mexico na Argentina kuibuka ma champion nimeshuhudia vijana wawe na adabu
 
Naiangalia thriller mara ya kwanza kwenye mwaka 97 au 98 hivi wakati huo nasoma chekechea shule ya nyota ya bahari ipo opposite na kanisa katoliki mwenge parokia ya maximillian kolbe.

Cassette ya huo wimbo ilikua inafichwa watoto tusiangalie, nikawa na mzuka sana kujua kuna nini ndani. Siku iyo home nipo peke angu nikaenda kuichukua chumbani kwa bro nikauangalia. Wimbo haukuniogopesha chochote.
 
Naiangalia thriller mara ya kwanza kwenye mwaka 97 au 98 hivi wakati huo nasoma chekechea shule ya nyota ya bahari ipo opposite na kanisa katoliki mwenge parokia ya maximillian kolbe.

Cassette ya huo wimbo ilikua inafichwa watoto tusiangalie, nikawa na mzuka sana kujua kuna nini ndani. Siku iyo home nipo peke angu nikaenda kuichukua chumbani kwa bro nikauangalia. Wimbo haukuniogopesha chochote.
Ahaaa kama wazazi wako waliona kuwa kwa umri wako hukustahili kuangalia na hukustuka we ulikuwa jasiri
 
Fifa world cup ya 1986 iliyo fanyika mexico na Argentina kuibuka ma champion nimeshuhudia vijana wawe na adabu
Huo mwaka nilikuwa magomeni kwa shangazi yangu,hilo kombe tuliangalizia kwa sheijh yahya alikuwa na range,lumosine milango sita,screen ya TV yake ilukuwa mithili ya kioo cha mbele cha fuso
 
Sitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 pale Drive inn zilipo ofisi za Zantel,Msasani.

Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla ya filamu ulipigwa wimbo wa Thriller wa Michael Jackson

Kwa umri wangu mdogo chini ya miaka 10 yale mazombie sikukala usiku.

Drive in ndio ukumbi pekee ambao ungeweza kuangalia filamu ukiwandani ya gari,mimi niliogopanikaenda kujifungia kwenye gari.
Sasa hivi woga umenitoka ukijichanganya ninaweza kukuchinja koo
Shkamoo mkuu.
 
Huo mwaka nilikuwa magomeni kwa shangazi yangu,hilo kombe tuliangalizia kwa sheijh yahya alikuwa na range,lumosine milango sita,screen ya TV yake ilukuwa mithili ya kioo cha mbele cha fuso
Kuhusu shehe yahya nimesikia masimulizi mengi kuhusu kuweka screen na kuonyesha buree

Zamani world cup ilikua na mvuto na msisimko Sana Sana.
 
Mwaka themann na nne mama yangu yupo latano.

Mzee wangu Kiranga, heshima kwako.

Kwakweli, jf tunabishana saana. Pengine tungekuwa tunajua umri, pengine Ka heshima kangekuwepo.
Sasa mama yako kimiaka mimi nimesoma naye shule moja, tumepishana miaka michache tu.

Niliwahi kusema hapa tunabishana na wanetu mara nyingine. Ndiyo maana naweza kuona mtu hajui kitu cha wazi kabisa kwangu.

Nilipofikiria hili, niliazimia kutohamaki nitakapokutana na mtu ambaye hajui mambo ya wazi kabisa kwangu.

Kwa sababu sijui umri wake.

Naweza kukuta mtu hajui mambo ambayo mimi niliyajua miaka 20 iliyopita, kwa sababu umri wake ni sawa na wangu wa miaka 20 iliyopita.
 
Sasa mama yako kimiaka mimi nimesoma naye shule moja, tumepishana miaka michache tu.

Niliwahi kusema hapa tunabishana na wanetu mara nyingine. Ndiyo maana naweza kuona mtu hajui kitu cha wazi kabisa kwangu.

Nilipofikiria hili, niliazimia kutohamaki nitakapokutana na mtu ambaye hajui mambo ya wazi kabisa kwangu.

Kwa sababu sijui umri wake.

Naweza kukuta mtu hajui mambo ambayo mimi niliyajua muaka 20 iliyopita, kwa sababu umri wake ni sawa na wangu wa miaka 20 iliyopita.
Upo sahihi kabisaa.
 
Kuhusu shehe yahya nimesikia masimulizi mengi kuhusu kuweka screen na kuonyesha buree

Zamani world cup ilikua na mvuto na msisimko Sana Sana.
Hayo masimulizi ni ya ukweli,yule sheikh kashika hela kitambo japo mimi namuona kama masikini tu ile nyumba yake haikuwa na hadhi
 
88 una kumbu kumbu nayo !
Shikamoo mzee!
Amesema 1988 alikuwa kijana mdogo chini ya miaka 10.

Sasa huyo utamuita mzee kweli? Mbona anaonekana kama kazaliwa miaka ya 1980,s hivi ambapo kama atakuwa na miaka mingi sana haizidi 43.
 
Marahaba mwanangu
Najua katika wazee na mimi nimo humu
Niombee afya njema
Kwenye zile nyuzi za falme ya uingereza, kuhusu Prince Charles na Princess Diana ndio nilijua umebarikiwa umri mrefu..

Muendelee tu kutufundisha
 
Kwenye zile nyuzi za falme ya uingereza, kuhusu Prince Charles na Princess Diana ndio nilijua umebarikiwa umri mrefu..

Muendelee tu kutufundisha
Nashukuru sana Mkuu, kwa kweli umri umeenda kiasi
Nami nawaombea umri na afya njema wote kwa ujumla
 
Hili limtandao limenichosha sasa yani kuna mimtu ni mikubwa sana!..😅
 
Back
Top Bottom