Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Umesikitisha Sana kuita watu mbwa....Sasa hivi C mbili na D moja unaingia advance
Tena unaweza kuta C za civics na nutrition, D ya Bible/Islamic knowledge
Chuo E mbili
Akitoka hapo hataki kazi za bodaboda, eti anataka kazi za hadhi yake, hivi wana hadhi gani hawa mbwa!!!!
Forodhani na kibasila umezisahauEnzi zetu kwa Dar shule zilikuwa nne tu basi yaani Pugu,Minaki,Tambaza,Azania hakukuwapo na Benjamini Mkapa.
Mtoto wa kiume unatakiwa ukaze ili uende angalau hata Aza Boy.
Ila binafsi nilichaguliwa Ilboru kata nzima nilikuwa mwenyewe ila DsM nzima tulikuwa watatu tu.
Advance tukatupwa mzumbe pale kwa DsM tulikuwa wa tano mkoa mzima.
Kweli hizo nazo zilikuwapo boss,sema enzi zetu ili uonekane umefahuru lazima uende hizo nilizotaja au special schools..!Forodhani na kibasila umezisahau
1970s kulikuwa na shule za binafsi? Wapi hiyo?WAHENGA TU: Kuna mzee mmoja alisoma secondary miaka ya 1970s. Yeye binafsi aliwahi kuniambia kwamba enzi hizo waliokuwa wanasoma shule za secondary za serikali walikuwa wanaheshimika sana ukilinganisha na wale waliokuwa wanasoma shule za secondary za binafsi..
Chuki imekuwa kubwa mno, Wale waliosoma government na Wale wa private na Wale hawakwenda sekondari aka la Saba hoyee!enzi zetu ukienda private wewe ni failure. shule private zilikuwa kwa ajili ya waliofail.
Pugu umesahauMimi mwaka niliomaliza STD 7 hapo dar shule zilikuwa Ni hizi tu
Azania
Benjamin William mkapa
Dar es salaam sec
Kambangwa
Kisutu
Kibasila
Zanaki
Jangwani
Kiluvya
Chang'ombe
Forodhani
Tambaza ( a level tu)
Ukikosa hizi we umeshafeli [emoji1787][emoji1787]
Otherwise uende kipaji maalumu
Kuna wadau ulikua ukitoa swali kwenye kitabu cha kikwetu anaandika jibu bila kukokotoaHisabati za Kikwetu
Maji ilikuwa shida sana sijui kwa siku hizi hali ya maji ipojeMkuu umenikumbusha Pondi aisee
Chuo kipi E mbili, acha uongoSasa hivi C mbili na D moja unaingia advance
Tena unaweza kuta C za civics na nutrition, D ya Bible/Islamic knowledge
Chuo E mbili
Akitoka hapo hataki kazi za bodaboda, eti anataka kazi za hadhi yake, hivi wana hadhi gani hawa mbwa!!!!
Pugu iko pwaniPugu umesahau
Sure enzi za kikwete E mbili unapiga bachelor yako saafiChuo kipi E mbili, acha uongo
Kumbe we bado dogo Sana.WAHENGA TU: Kuna mzee mmoja alisoma secondary miaka ya 1970s. Yeye binafsi aliwahi kuniambia kwamba enzi hizo waliokuwa wanasoma shule za secondary za serikali walikuwa wanaheshimika sana ukilinganisha na wale waliokuwa wanasoma shule za secondary za binafsi tofauti na hivi sasa ambapo wanafunzi wa private ndio wanaheshimika.
Je, kauli hii ina ukweli wowote ndani yake?
Humu tupo wakongweHahahahaaaa, eti ba'mdogo. Best siku hizi JF ninaiheshimu sana. Kuna uzi wangu wa asili ya muziki wa Zaire kuna member mule kaniambia alisoma secondary miaka ya 1970s wakati mimi nilikuwa ninamchukulia poa tu
Hongereni sana mkuuHumu tupo wakongwe
Serikali imejitahidi sana kwa kweli...Kwa miaka ya hivi karibuni, hata mimi nilistaajabishwa na jinsi wizara ya elimu wanavyojitahidi kuwapangia wanafunzi shule, kutokana na ufaulu wao. Hapa naongelea matokeo ya kidato cha nne. Kulikuwa na vijana mbalimbali, wewe mikondo mbalimbali na ufaulu tofauti tofauti, kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu.
Nikashuhudia waliochaguliwa katika mkupuo wa kwanza, walipelekewa kidato cha tano, wengine chuoni, muda ukapita wengine wa daraja la tatu na nne wakiwa mtaani. Mara uchaguzi mkupuo wa pili ukaja, hapa waliochaguliwa kwa kuzingatia kile mtu alichofaulu, mfano mtu alifeli hesabu, uhasibu, biashara, jiografia, ila akawa na ahueni katika Kiswahili, Kiingereza na Historia. Basi akapelekwa kidato cha tano HKL.
USSUzi umenikumbusha mbali sana, Tanga mjini miaka ya 2002 kurudi nyuma shule za secondary zilikua nne tu , Usagara Sec, Tanga school (hii ilichukua vipaji) Galanos na Mkwakwani. Yaani hapo ilikua ukichaguliwa ujue we mwanaume hasa. Shule nyingi za primary zilikua na wanafunzi wanaomaliza la 7 zaidi 100 lkn wanaochaguliwa kwenda sekondari hawazidi 20. Hivyo kujihakikishia nafasi lazima uhakikishe upo ndani ya top 10 darasani
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Umenena kiutuuzima sana. Nadhani bila ya uwepo wa shule za Private katika nyakati zile wengi wetu tungelikosa fursa ya kupata elimu, ambayo kwa kiasi kikubwa imekuwa na maana sana katika maisha yetu katika nyakati za sasa.Ukweli ni kuwa hapo zamani watu wengi wamekosa nafasi ya kusoma secondary school sio kwa sababu ya kutofaulu bali sababu ya uchache wa shule za sekondari.
Unakuta wilaya nzima kuna shule moja ya sekondari halafu shule za msingi zaidi ya120.Ilikuwa jambo la kawaida kukuta shule yote haijatoa hata mwanafunzi mmoja wa kujiunga kidato cha kwanza.
Kwa kweli aliyeleta shule za kata alifanya jambo la maana sana pamoja na changamoto zake. Kujivunia ule uzamani ambao uliwanyima wenzetu nafasi za kusoma na sababu kubwa ikiwa ni ukosefu wa shule za sekondari unakuwa sio uzalendo
My dad once told me thisNa shule za serikali zilikuwa vizuri katika nyanya zote, waalimu, vitabu, vifaa na weledi.
Mimi pia ninapenda kujua kuhusu hiliLinalonichanganya ni je, shule ziko chini wa wizara ya Elimu au Tamisemi?
Kuna jamaa yangu alisomaga hapo Galanos Advanced Level...Uzi umenikumbusha mbali sana, Tanga mjini miaka ya 2002 kurudi nyuma shule za secondary zilikua nne tu , Usagara Sec, Tanga school (hii ilichukua vipaji) Galanos na Mkwakwani. Yaani hapo ilikua ukichaguliwa ujue we mwanaume hasa.