Mwaka 1999 kurudi nyuma ilikuwa ngumu sana kuchaguliwa shule ya Sekondari ya Serikali. Waliobahatika walijulikana kata nzima. Je, wewe ni mmoja wao?

Kwahiyo kufaulu wachache na kufaulu wengi kipi bora?. Yani kipi bora wachache waelimike au jamii nzima ielimike?. Acheni husda ngoja maisha yawanyooshe
Enzi zetu hakukuwa na kufaulu ilikuwa kuchaguliwa maana shule zilikuwa chache hata hivyo elimu ya wakati ule hiwezi kulinganisha na sasa.Sasa hivi kijana anamaliza form four lakini hawezi hata kuandika "official letter" hata kwa kiswahili elimu imekuwa majanga.
 
Mkuu Infantry Soldier Unaelezea Kufaulu Kutoka Shule ya Msingi? Au Sekondary?
Mi Nakumbuka “Nilipofaulu” Kutoka Shule ya Msingi kwenda Pugu 1995,Na Jina Likatoka Gazetini…Alooo ilikuwa furaha sanaaa,Sababu Unaonja Furaha kwa maravya Kwanza unaona Ufaulu,Ila Kutoka O level kwenda A level tayari imeshazoeleka
Ila Shule ya Msingi ndio kwanza unaenda kuingia Sekondari duuuu,
Halafu Pia Kipindi Kile Eti ukimalaiza Chuo Kikuu unawaza kwenda Eti wanaita “Mlimani”
Ndio watu wanajua umeenda Chuo Kikuu…
Ila sasa hivi Aahh Kwenda Chuo kikuu,Mzumbe,Udom,SUA,TIA nk nk.
Cha Msingi umepata Degree ukatafute ajira,Pia Sasa hivi hawaangalii eti Chuo kikuu umesoma wapi!
Cha Msingi umeweza Itetea Elimu yako kwenye Enterview? Na Katika Kazi husika?
Marahaba Infantry Soldier ingawa Leo hujaamkia wakubwa zako kama ilivyo kaqaida yako emoji3516][emoji2368][emoji3166]
 
wenye credit wengi walibaki kitaa wenye BCC arts waliouna moto, ccc flat ndio hwakuona nuru yoyote, hesabu ilikamua watu, one of the kings of 99 R.I.P Mwalimu Nyerere, what a lovely year it was. Kaka zetu wao walifutiwa matokeo na kurudia january ya 99, na tukaisolve respect tu paper la hesabu la 96, msiulize kila mtu ashinde mechi zake,
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hadi miaka ya 2002 Hali hiyo ilikuwepo.

Binafsi nilifaulu peke yangu Jimbo Zima la Mbozi Magharibi sasa Wilaya ya Momba kwenda shule ya bweni
 
Uchache wa Sekondari enzi hizo ndio lilisababisha hilo zengwe

Upatikanaji wa kitu kikiwa kidogo na mahitaji ni mengi kinapanda thamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…