Mwaka 2004 nilikatwa mapanga na vibaka mkoani Geita nikisotea kazi Mgodini mpaka leo sijatoboa nauza Kangala tu

Mwaka 2004 nilikatwa mapanga na vibaka mkoani Geita nikisotea kazi Mgodini mpaka leo sijatoboa nauza Kangala tu

Mimi swali langu ..yale mafuta yanayoelea juu ya kangala yanatokana na nini? au kimea kinasindikwa hadi kinatoa funza ndio wanatoa yale mafuta?
 
Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.
Hii ilikuwa mwaka gani umeenda kakola?
 
Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.

Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.

Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.

Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..

Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.

Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu

Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.
Maisha ni safari ambayo haihitaji kuikatia tamaa kabisa
 
Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.

Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.

Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.

Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..

Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.

Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu

Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.

Maisha bwana! Mungu atunusuru tu na majanga hujafa hujaumbika, pole sana mkuu!

Ulipata ulemavu au ndio baada ya tukio akili ilibadilika kabisa
 
Tulikua sehem,tukanunua mishikaki..
Wakati nakula yeye anaongea na simu,kwa kuwa imepoa akagusagusa then iliyobaki akaitupa...kuna jamaa alikua pembeni yetu akauliza hizo nyama zilizobaki mmezitupa?sijala toka jana.
Tukampa pesa kidogo ya sahani ya chakula,alishukuru sana...

Nikamwambia brother hii ridhki tunayopata sio kwamba sisi tunajua sana ama ni bora kuliko wengine.
 
Ni Lugha ya wapo Hii?
Nitaazima neno hili Kwa ruhusa ya wenye nalo ili nilitumie Kwa maandiko yangu
Hicho ni kiswahili mkuu, na hilo ni jina rasmi la Pombe za Kienyeji zinazotengenezwa kienyeji. Hasa zile pombe zinazotokana na nafaka😀
 
Back
Top Bottom