Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikuwa mwaka gani umeenda kakola?Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.
Nimeamua kuuza Kangala tu.Kama ulikosa kipindi kile saivi urasimu ni asilimia 300 HR wa barrick wamekua zaidi ya miungu 😀😀🚮🚮🚮
Acha kuharibu biashara ya wanaumeMimi swali langu ..yale mafuta yanayoelea juu ya kangala yanatokana na nini? au kimea kinasindikwa hadi kinatoa funza ndio wanatoa yale mafuta?
2003. Nilitoka zangu Dar na treni mpaka Mwanza baadae nikapanda basi lilikuwa linaitwa Mkushi mali ya aliyekuwa tajiri wa Geita mzee LushangaHii ilikuwa mwaka gani umeenda kakola?
naomba nkufate pm kaka kuna kitu nmeona unachoUlikata tamaa tuu kakola kazi nje nje kina Andy mwakibete walisotea saivi ni superintendent mining
Maisha ni safari ambayo haihitaji kuikatia tamaa kabisaBaada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.
Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.
Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.
Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..
Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.
Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu
Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.
Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.
Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.
Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.
Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..
Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.
Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu
Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.
Hawa watoto wa shetani unadhani akili wanayo wapiYaan wakakukata mapanga kisa briefcase yenye vyeti ya FTC.
Pole sana mkuu.
Si Bora upige jembe kuliko kuwaza kuokota kaziMkuu kila mtu na bahati yake. Wapo watu wamezeekea Kakola bila hata kutinga na walifika kusotea 1999.
Utakuwa unaishi kwa shemeji yako anaye mpanua dada yakoSi Bora upige jembe kuliko kuwaza kuokota kazi
Akili yako finyu Sasa unasota miaka 10 kuokota kazi una akili kweli Kwann usipige jembe utoboeUtakuwa unaishi kwa shemeji yako anaye mpanua dada yako
Nami nasubiri
MataputapuKangala ni nini?
Mataputapu
Hicho ni kiswahili mkuu, na hilo ni jina rasmi la Pombe za Kienyeji zinazotengenezwa kienyeji. Hasa zile pombe zinazotokana na nafaka😀Ni Lugha ya wapo Hii?
Nitaazima neno hili Kwa ruhusa ya wenye nalo ili nilitumie Kwa maandiko yangu
Hicho ni kiswahili mkuu, na hilo ni jina rasmi la Pombe za Kienyeji zinazotengenezwa kienyeji. Hasa zile pombe zinazotokana na nafaka😀
Ha ha haaa...Taekwon wa fasihi hiyo lazima utaichonga ili kuipa vibe katika dunia hii ya kisasa😃Ni lazima ni tafute chakuandika nitumie huo msamiati. Labda sio Mimi 😀🏃🏃
Sasa hivi nauza KangalaAkili yako finyu Sasa unasota miaka 10 kuokota kazi una akili kweli Kwann usipige jembe utoboe