Mwaka 2004 nilikatwa mapanga na vibaka mkoani Geita nikisotea kazi Mgodini mpaka leo sijatoboa nauza Kangala tu

Mwaka 2004 nilikatwa mapanga na vibaka mkoani Geita nikisotea kazi Mgodini mpaka leo sijatoboa nauza Kangala tu

Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.

Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.

Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.

Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..

Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.

Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu

Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.
Ukaenda kakola mkoani kahama, hivyo vidato ulivyosoma vilikuwa ni vidato vya sehemu gani?
 
Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini.

Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga.

Nilivyooona Mambo magumu ikabidi niende Geita. Hapo mambo hayakuenda vizuri. Japokuwa niliitwa kufanya interview lakini nilifeli screen test.Waliowahi kusotea watanielewa.

Nikawa nakaa geto na jamaa zangu, tulisoma nao O level
Mmoja alikuwa anatinga na ishu zake binafsi..

Siku mmoja kuna jamaa alikuwa anasotea pamoja na mimi akaniambia ni msindikize kuchukua mizigo yake. Nikawa nimemsaidia kubeba briefcase yake nikawa nimetangulia kutoka maeneo ya Bomani kuelekea jirani na uwanja wa mpira wa Kahangalala. Ghafla nikavamiwa na watu wakanikata mkononi mara mbili akaja jamaa mmoja baadae nilikuja kumjua kuwa anaitwa Rama. Akajaribu kunisaidia nae wakamkata mkononi. Wakapora ile briefcase. Ilikuwa na vyeti vya jamaa vyenye level ya Ftc.

Mpaka leo sijatoboa mambo magumu nauza Kangala tu. Nimetafakari maisha ni Safari ndefu

Mwaka 2004 nilikula pasaka nikiwa ninamajeraha makubwa sana.
Pole sana muuza kangala, wanaume tumeumbwa mateso hivi naweza kupata mzigo wa kangala na je ni bei gani?
 
Pombe iyo, inawekwa hadi sukari, inatengezwa kienyeji kama komoni. Nyanda za Juu kusini ndio mapigo yake ayo.
Kangala orginal inatengenezwa na asali yenye masega yake. Pacha wake ni Kisuuda Barbaig(Mang'ati) huitumia kwa matambiko.
Usiifakamie kipompipompi utaumbuka!
 
Mimi swali langu ..yale mafuta yanayoelea juu ya kangala yanatokana na nini? au kimea kinasindikwa hadi kinatoa funza ndio wanatoa yale mafuta?
Yale sio mafuta ni masega ya asali na povu la ulezi!!
Kangala og kabla hujanywa kula kwanza otherwise suluali itafungwa kamba kwa chini full "kanyela mumo" na utazima 48hrs+!!!

Bila shaka hata mlevi mwenzangu mwandamizi Mshana Jr anasadiki juu ya hilo.
 
Back
Top Bottom