Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nani kakudanganya?it will never be like unavyofikiria
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
 
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
 
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli maana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
 
Kura za 2020 zilipigwa na vyombo vya Dola hasa jwtz katika Kambi Moja hapa DSM iliyopo karibu na uwanja wa Taifa. Zikapelekwa mikoa ambayo magufuli alikuwa hakubaliki na wabunge wake. Zilipigwa hizo kura mwezi mzima wa kumi wakati wa kampeni.

Hizo kura zilipelekwa nyingi sana Mbeya na Songwe then Arusha Kilimanjaro. Kidogo zikapelekwa kusini na singida.

Hizo kura zilimuingiza bungeni

1. David Silinde
2. Tulia Ackson
3. Mbunge Hai
4. Mrisho Gambo
5. Majimbo mawili singida
6. Majimbo 6 DSM ya Kibamba, ubungo, kawe, segerea, ukonga na kinondoni.

Kwahiyo tunaweza kuwaweka peupe maana hata wale jwtz waliokusanywa na kupiga hizo kura pale kambini hawakulipwa hata mia Kwa mwezi mzima.

Wengi wao walitoka nyumbu na kupelekwa mjini kujaza hizo kura kabla ya kuzisambaza mikoa tarajiwa.

Magufuri alikuwa mbaya sana
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Semaga ukweli kuwa kama SII nguvu ya Dola kingeshajizika chenye hata Sasa ni majaribio ya kujiosha TU kama hakiishi Kwa msaada wa virungu, marisasi na vilipuzi machozi, ukiongezea na mbeleke ya neck na karani wa vyama🤔.
 
Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi

Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia

Yalivyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakini akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo.
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
 
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli mana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Kama ya wasiojulikana ni zaidi ya Ile ya umma, tutajua hapo hapo🤸
 
Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi

Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia

Yalivuyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakin akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
 
Mwenyewe unakubali wanamsifu mpaka wanamuongezea. Ina maana hawajui chochote ni mbumbumbu tu.

Ndiyo maana Mungu akamfurusha Magufuli mapema maana anapendwa na wapumbavu
Ni kweli vingine hakuweza kufanya sema mapenzi watu yamewazidi.

Lakini awa watu kuna meseji wanaifikisha uwe ulimchukia Magufuli kupitiliza au ulimpenda kupitiliza, kama una akili zimetulia huwezi puuza watu wana sababu ya kumuamini Magufuli.
 
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo pimbi wenu tuliyemzika Chato
Magufuli kwenye free will kukubalika kwake kura angepata less than 40%
 
Back
Top Bottom