Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Labda Chato.
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Acha ujinga Magufuli kashazikwa rasmi jana Dodoma.
 
Siasa mchezo mchafu, na njia ya kumtoa sisiemu madarakani labda ni kuwauwa tu😅😅 hamna nyingine

Ngoja nipambane nisake mkwanja nimpeleke mama Da Vinci XV makka mie kama ilivyo ndoto yakw😅🙏
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Kwani kwa akili yako Maccm yaliwahi shinda uchaguzi wowote tangu 2010?
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!

Huu uzi wako utakuja kukumbukwa 2025 ngoja tuwasijikize wahuni
 
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli mana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo

Tusubiri wahuni wa mjini akina Nape na Makamba wao kazi yao kubwa ni kuuponda utawala wa Magufuli
 
Aya ya kwanza nimesema namfananisha na Mursi kwa misimamo sio vinginevyo

JPM amefariki kwa tatizo la Mfumo wa moyo alilokuwa nalo kwa zaid ya miaka 10…zingine ni ngonjera tu…hata huku uswahilini kila anaekufa kauawa hakuna anaekufa kifo cha kawaida
Kwa hiyo Magufuli naye aliuawa?
 
Magu alichofanya ni kuwatisha wananchi. Ukimya wao ukatafsiriwa kuwa ni kumpenda.
Aliwanyima taarifa kwa nguvu zake zote, akajipenyeza kwenye vyombo vyote vya habari kasoro jamii forum, ili kuwaongopea wananchi, hata hivyo akagundua kuwa hawamuungi mkono mama alivyo tazamia, hivyo akaamua kunajisi wazi chaguzi za 2019 na 2020 ili aendelee kubakia madarakani, na hata baada ya kufanya hayo akaandaa watu wakumfanya arekebishe katiba iliwe madarakani maisha yake yote.
Mungu akamsikia, akampa alicho kitaka akawa madarakani maisha yake yote mpaka alipo kufa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
🤣😂🤣😂🤣😂Tangu Vita vya UKRAINE vianze nipo kwenye Uzi wa International...nimeingia humu kwa bahati mbaya ....
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Wewe watumwa wenzako walionunuliwa toka CDM wamepata teuzi,wewe ukilaza wako na ujamvi la wageni vimekufanya "unuke". Pole sana.
Naona umeanza "kunyea kambi" ,jambo ambalo kwa CCM halitakiwi.
 
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Ushauri wa bure, tulia, weka akiba ya maneno, zamu yako itafika tena, utaitwa kushiriki tena kula karamu ya Bwana meza Kuu.

Nape alijinyamazia, January alijinyamazia, Mchechu alijinyamazia, Kinana alijinyamazia, na wewe jinyamazie, you never know!.
Nakupenda!.
P
 
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo pimbi wenu tuliyemzika Chato
Acha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sana
 
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo pimbi wenu tuliyemzika Chato
Pimbi ni ww unaenunua mafuta ya kupikia elfu 7 kwa lita.. nyang'au mkubwaa..na bado chamoto utakiona mana unaonekana huna hata hela ya kununua boxer
 
Acha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sana
Adolph Hitler mwenyewe anayelaaniwa kwa kuanzisha vita vya pili vya Dunia anaenziwa kila mwaka huko Germany. Lakini bado haimfanyi kuwa kiongozi mzuri.

Kuhusu kumchafua Magufuli, huo ni uongo. Alijichafua mwenyewe kwa kumiliki kikundi cha WASIOJULIKAMA, kuua wakosoaji, kutugawa watanzania kiitikadi na kikabila.

Muache aendelee kuoza huko ahera
 
Back
Top Bottom