Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Acha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sana
Ulimkubali wewe peke yako, usiwasemee wengine. Waache waje wenyewe waanfike hapa
 
Pimbi ni ww unaenunua mafuta ya kupikia elfu 7 kwa lita.. nyang'au mkubwaa..na bado chamoto utakiona mana unaonekana huna hata hela ya kununua boxer
Akili yako imekaaa kijikoni tu na unawaza mambo ya jikoni. wewe jailos mrisho kama huna boxer wewe shauri yako
 
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Lakini pia kundi la watu wa kawaida walikuwa wanafurah sana mtu akitumbuliwa na pengine bila sababu ya msingi,wakati huohuo kundi hilo lilikuwa haliwezi kupata nafasi hiyo.Yaani maskini anafurahi tajir akifirisika....
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Wananchi wepi. Achani hayo
 
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Mitandao yenyewe wanao mponda nihumu JF pekeake ambapo mtu anaweza kurudia rudia comments kwa ID zake feki.
 
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli mana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo

Angekuwa amefanya makubwa hivyo asingenajisi uchaguzi wa 2020. Yeye mwenyewe akiwa hai ilibidi anajisi uchaguzi. Kama alikuwa anakubalika hivyo huko mtaani angeheshimu box la kura.
 
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Mtandaoni kweli Magu hafai ila simply mtaani huwambii kitu juu ya Magu . Reference ni nyingi kwa watu wa kawaida juu ya huyu Mwamba. Time will tell
 
Angekuwa amefanya makubwa hivyo asingenajisi uchaguzi wa 2020. Yeye mwenyewe akiwa hai ilibidi anajisi uchaguzi. Kama alikuwa anakubalika hivyo huko mtaani angeheshimu box la kura.
Dogo tindo acha kulalama
 
Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.

Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.

Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.

Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Mbona aliiba uchaguzi kama alikua anakubalika mtaani?!
 
Kuna mtu ameelezea hapo vyema kabisa ni kakundi tu ka watu wachache wanaohesabika mitandaoni ndio wanamchukia Magu ila mtaani wanamuelewa sana na hawakumuelewa tu kwa kauli alizokuwa anatoa bali kwa kazi zinazoonekana kwa macho ya nyama.

Ni kakundi kadogo tu ndo kanaona alikuwa Dictator, nafikiri jambo la msingi hapa ni kujiuliza haka kakundi kadogo kwanini kalimuona ni dictator?
Asingeharibu uchaguzi wa 2020 kama alikua anakubalika mtaani
 
Tatizo ni pale unapoona magufuli alikuwa tofauti na sisiem. Ukweli ulivyo, uchaguzi wa magufuli 2015 ilikuwa rahisi kuliko 2020. Uchaguzi wa 2020 ili ashindi ailimbdi aupore kwa nguvu. Sisiem ni njanga nchi hii.
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
 
CCM wamejisahau
20220403_065003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2] [emoji2] Mkuu shida kubwa ni kwamba Watanzania ni wanafiki sana ukiwemo wewe. Hamiijawahi kuwepo kitu kinaitwa nguvu ya umma nchi hii
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli maana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Magufuli is no more, kuongelea mambo ya 2025 sasa hivi sio sahihi, kumbuka siasa hubadilika muda wowote na mpaka kufika mwaka huo mengi yatakuwa yameshatokea kubadili upepo.
 
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.

Mkuu, na usisahau humu JF ni kama tawi dogo la Chadema ambapo kila kitu kihusucho mazuri ya JPM basi watapinga na kutukana

Ila kiuhalisia mtaani huko ni habari nyingne kabisa JPM ni Rais aliyetokea kukubalika sana nchini
 
Back
Top Bottom