Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Duh
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Safi sana naona maumivu yameanz kuwaingia hapo team mwendazake. Mama Mnaye hadi 2035. Vumilieni
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Hilo shetani lenu likitajwa kwa mabaya yake mnasema aachwe apumzike, hila nyie hamuishi kumtukuza
 
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
Yaani Hawa matahila huyo dikteta washamfanya Ni mungu Wao, wakati uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa hovyo kabisa kwajili yake,

Samia Ni mpaka 2039
 
Unajua result ya mtu kuona ameprove failure dhidi ya aliyemtangulia na akiwa na uhakika hawezi mfikia kinachofuatia ni kujaribu ku polute akichokifanya . Hii scenario kwa sisi ma thinkers hatupati shida kabisa kuelewa ni nini kinatokea hivi. This woman has proved failure in her regime despite the fact that it's too early.
 
Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.

Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.

CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
Mkuu lazima tuambiame ukweli.
Uchaguzi wa mwaka 2020 Magufuli alikuwa anakubalika Sana kwa wanainchi.
Tatizo lilikuwa kwa wabunge na wenyeviti wa mtaa na madiwani kwa ticket ya CCM,
Wengi waliwachokwa kutokana na kutokuwa na ushawishi mkubwa kwa wanainchi.

Ulikuwa ukikuta watu 10 ukawauliza kuhusu Magufuli,
Basi 7 watasema Ndiyo,
na 3 watasema Hapana.

Lakini kwa hali ilivyo sasa,
Katika wanainchi 10 ukiwauliza kuhusu uongozi uliopo madarakani , watu 3 watakwambiya Ndiyo na 7 watakwambiya Hapana.

Chama kimekosa ushawishi kwa wanainchi.
Kama uchaguzi ukiwa wa haki basi Kura za Hapana zitakuwa nyingi kwa Ccm kuliko Kura za Ndiyo.

Ndy sababu ya kuwarejesha Safu nzima ya kanali,pamoja na bao la mkono kundini.
Yote ni maandalizi ya uchaguzi wa figisu 2025.

Ni vile Tanzania hakuna upinzani wa kweli,
Lakini wapinzani kama wangekuwa na watu sahihi kuongoza hii inchi,
Nadhani 2025 ndy watapita kwa urahisi mno kuliko nyakati zozote ktk hii inchi..
 
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli maana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Ni kweli mkuu,,
Mimi mwaka 2020 nilitembea umbali mrefu Sana kwenda kumpigia Kura ya ndy Magufuli,

Kwa hali ilivyo sasa,,
ni Bora nimpigie kura Hashim Rungwe.
Kuliko kuipigia Kura CCM.

Tatizo ni kuendelea kumponda na kumsimanga mpendwa wetu Magufuli.
Wanainchi wengi tunakinyongo na haya yanayoendelea dhidi ya watu wanao mdhalilisha na kumdhihaki mwendazake.,tena hadharani.

Badala ya kupita njia zao,,
matokeo yake wanaendelea kuhangaika na kufuta na kuchafua aliyoyaacha Magufuli.
2025 Kura yangu ya Hapana itakuwa na maana Sana..

Inshaalah.
 
Rais pekee wa Tanzania ambae hakuwa anamtupia kejeli na vijembe mtangulizi wake ni Ndugu Ally Hassan Mwinyi

Pamoja na hilo utaratibu huu wa kumsema sema mtangulizi wake huwa unanikera sana

Ulinikera wakati Mkapa anamtupia madongo Mwinyi, wakati Jakaya anamtupia madongo Mkapa, wakati JPM anamtupia madongo Jk na wakati Samia anamtupia madongo JPM
Unajua result ya mtu kuona ameprove failure dhidi ya aliyemtangulia na akiwa na uhakika hawezi mfikia kinachofuatia ni kujaribu ku polute akichokifanya . Hii scenario kwa sisi ma thinkers hatupati shida kabisa kuelewa ni nini kinatokea hivi. This woman has proved failure in her regime despite the fact that it's too early.
 
Tofauti za uchaguzi uliomuingiza Mursi madarakani 2012 na ule uliomuingiza jiwe madarakani 2020 ni ardhi na mbingu. Ni mtu mjinga pekee anayeweza kufananisha hizo chaguzi mbili.
Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi

Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia

Yalivyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakini akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo.
 
Bila tume huru ya uchaguzi hizo ni hadithi za paukwa pakawa tu.
Mkuu lazima tuambiame ukweli.
Uchaguzi wa mwaka 2020 Magufuli alikuwa anakubalika Sana kwa wanainchi.
Tatizo lilikuwa kwa wabunge na wenyeviti wa mtaa na madiwani kwa ticket ya CCM,
Wengi waliwachokwa kutokana na kutokuwa na ushawishi mkubwa kwa wanainchi.

Ulikuwa ukikuta watu 10 ukawauliza kuhusu Magufuli,
Basi 7 watasema Ndiyo,
na 3 watasema Hapana.

Lakini kwa hali ilivyo sasa,
Katika wanainchi 10 ukiwauliza kuhusu uongozi uliopo madarakani , watu 3 watakwambiya Ndiyo na 7 watakwambiya Hapana.

Chama kimekosa ushawishi kwa wanainchi.
Kama uchaguzi ukiwa wa haki basi Kura za Hapana zitakuwa nyingi kwa Ccm kuliko Kura za Ndiyo.

Ndy sababu ya kuwarejesha Safu nzima ya kanali,pamoja na bao la mkono kundini.
Yote ni maandalizi ya uchaguzi wa figisu 2025.

Ni vile Tanzania hakuna upinzani wa kweli,
Lakini wapinzani kama wangekuwa na watu sahihi kuongoza hii inchi,
Nadhani 2025 ndy watapita kwa urahisi mno kuliko nyakati zozote ktk hii inchi..
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!

Wananchi na kivuli cha Magufuli wana uwezo wa kuunda serikali.​

 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Magufuli hakunusuru Chama Bali Vyombo vya Dola.

Unatumia Dola kubaki madarakani
 
Back
Top Bottom