Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa hiyo wananchi watapigia kivuli cha Magufuli kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyonge watafanya nini? Wana chama? Kiongozi wao nani? Wana jeshi? Wana ujasiri wa kuandamana?Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Kwa hiyo Magufuli naye aliuawa?Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi
Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia
Yalivuyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakin akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo
Mkuu hakuna kitu watafanya... I hope nikisema hivi unasikia farajaWanyonge watafanya nini? Wana chama? Kiongozi wao nani? Wana jeshi? Wana ujasiri wa kuandamana?
Usijali baada ya miaka 30 Sabaya atatoka jela na atakuwa Rais wenuMungu wetu atupiganie watanzania tumpate Magufuli mpya
Maandamano yamepigwa marufuku, mikutano ya vyama marufuku pia.ukileta fyoko fyoko ni kipigo cha mbwa kokoMkuu hakuna kitu watafanya... I hope nikisema hivi unasikia faraja
Umetumia mbinu gani (statistical method) kufikia hizo Laki 8Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Mbona hajakuua wewe???Hakuna mtu mwenye akili anaweza kumtukuza Rais muuaji.
Hapo sasa !!Wanyonge watafanya nini? Wana chama? Kiongozi wao nani? Wana jeshi? Wana ujasiri wa kuandamana?
Elites ndo wanaoongoza dunia..Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Magufuli alijuwa Tanzania Ina illiterates wengi na akawafanya mtaji. Akazima vyombo huru vya habari na akabakia yeye tu ndiye sauti kupitia TBC na channel 10.Ni kweli vingine hakuweza kufanya sema mapenzi watu yamewazidi.
Lakini awa watu kuna meseji wanaifikisha uwe ulimchukia Magufuli kupitiliza au ulimpenda kupitiliza, kama una akili zimetulia huwezi puuza watu wana sababu ya kumuamini Magufuli.
Kwa namna alivyoshangilia JK aisee hakuna legacy ya Meko mtaisikia maishani sanasana Rais wa kuenziwa ni JKN pekee sio hii mliyotengeneza kwamba tumuache Ben, Nyerere eti tumuenzi Meko pekee, hapo ndipo mlipokosea na haitajirudia, take my words down the memory.Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
TISS walifanya eatimations zao by March 2020 walikuta angeweza kupata kwa 30%. Hizo 40% umempa nyingi mnoMagufuli kwenye free will kukubalika kwake kura angepata less than 40%
Wafanyakazi wa umma + wafanyakazi wa private walio na nafasi za juu na wafanyabiashara wakubwa.Umetumia mbinu gani (statistical method) kufikia hizo Laki 8
Kwani nani kakwambia wataandamana?Maandamano yamepigwa marufuku, mikutano ya vyama marufuku pia.ukileta fyoko fyoko ni kipigo cha mbwa koko
Ndio mwendo tunaenda nao CCM, aliuanzisha huyo dhalimu mnaemlilia kila siku
Kuna mtu ameelezea hapo vyema kabisa ni kakundi tu ka watu wachache wanaohesabika mitandaoni ndio wanamchukia Magu ila mtaani wanamuelewa sana na hawakumuelewa tu kwa kauli alizokuwa anatoa bali kwa kazi zinazoonekana kwa macho ya nyama.Magufuli alijuwa Tanzania Ina illiterates wengi na akawafanya mtaji. Akazima vyombo huru vya habari na akabakia yeye tu ndiye sauti kupitia TBC na channel 10.
Propaganda zake tu za uwongo ndizo zilitawala kwa miaka 5, ndiyo maana wewe sinza pazuri unaona kama watu wanamkubali.
Tutaendelea kuwasomesha Polepole mpaka waelewe kuwa Magufuli was a mediocre leader but a ruthless dictator
Elites ndo wanaoongoza dunia..
Kauli yao inachukuliwa kwa uzito kuliko waporipori milioni mia.