Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Wanyonge watafanya nini? Wana chama? Kiongozi wao nani? Wana jeshi? Wana ujasiri wa kuandamana?
 
Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi

Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia

Yalivuyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakin akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo
Kwa hiyo Magufuli naye aliuawa?
 
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Umetumia mbinu gani (statistical method) kufikia hizo Laki 8
 
Hilo neno !!
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
 
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.

Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.

Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.

Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk

Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.

Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Elites ndo wanaoongoza dunia..

Kauli yao inachukuliwa kwa uzito kuliko waporipori milioni mia.
 
Ni kweli vingine hakuweza kufanya sema mapenzi watu yamewazidi.

Lakini awa watu kuna meseji wanaifikisha uwe ulimchukia Magufuli kupitiliza au ulimpenda kupitiliza, kama una akili zimetulia huwezi puuza watu wana sababu ya kumuamini Magufuli.
Magufuli alijuwa Tanzania Ina illiterates wengi na akawafanya mtaji. Akazima vyombo huru vya habari na akabakia yeye tu ndiye sauti kupitia TBC na channel 10.
Propaganda zake tu za uwongo ndizo zilitawala kwa miaka 5, ndiyo maana wewe sinza pazuri unaona kama watu wanamkubali.

Tutaendelea kuwasomesha Polepole mpaka waelewe kuwa Magufuli was a mediocre leader but a ruthless dictator
 
Amani iwe kwenu,

Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.

Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.

Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.

Ajizi nyumba ya njaa!
Kwa namna alivyoshangilia JK aisee hakuna legacy ya Meko mtaisikia maishani sanasana Rais wa kuenziwa ni JKN pekee sio hii mliyotengeneza kwamba tumuache Ben, Nyerere eti tumuenzi Meko pekee, hapo ndipo mlipokosea na haitajirudia, take my words down the memory.
 
Maandamano yamepigwa marufuku, mikutano ya vyama marufuku pia.ukileta fyoko fyoko ni kipigo cha mbwa koko

Ndio mwendo tunaenda nao CCM, aliuanzisha huyo dhalimu mnaemlilia kila siku
Kwani nani kakwambia wataandamana?

Alafu mimi sio mshabiki wa hivyo vyama vyenu. Mimi nilikuwa natoa uhalisia naouona, so unaweza upuuza vile vile.
 
Magufuli alijuwa Tanzania Ina illiterates wengi na akawafanya mtaji. Akazima vyombo huru vya habari na akabakia yeye tu ndiye sauti kupitia TBC na channel 10.
Propaganda zake tu za uwongo ndizo zilitawala kwa miaka 5, ndiyo maana wewe sinza pazuri unaona kama watu wanamkubali.

Tutaendelea kuwasomesha Polepole mpaka waelewe kuwa Magufuli was a mediocre leader but a ruthless dictator
Kuna mtu ameelezea hapo vyema kabisa ni kakundi tu ka watu wachache wanaohesabika mitandaoni ndio wanamchukia Magu ila mtaani wanamuelewa sana na hawakumuelewa tu kwa kauli alizokuwa anatoa bali kwa kazi zinazoonekana kwa macho ya nyama.

Ni kakundi kadogo tu ndo kanaona alikuwa Dictator, nafikiri jambo la msingi hapa ni kujiuliza haka kakundi kadogo kwanini kalimuona ni dictator?
 
Kama alivyosema Joseph Stalin ! It's enough that the people know there was an election ! The people who cast the votes decide nothing ! The people who counts the votes decide everything !! Au siyo Mkuu ??!!
Elites ndo wanaoongoza dunia..

Kauli yao inachukuliwa kwa uzito kuliko waporipori milioni mia.
 
Tokea lini CCM inategemea kura yako, kama ungekuwa na uwezo wa kuamua si ungebadili katiba au hata kuandamana, SAMIA RAIS WA LEO NA KESHO, acha ubwege.
 
Back
Top Bottom